Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Kama uliiona game ya PSG vizuri, Mbappe ni game changer, nina uhakika kama Mbappe atacheza kwa hata 80% tu ya kiwango chake, PSG wanaingia fainali.
Leizpig wataishia hapo. Bado kombe nawapa wakongwe, Barca au Bayern. Atakayepita leo.
Mkuu me nimeacha kukalili timu kubwa na kuangalia mpira,Leipzig na atm ungeulizwa ungesema atm ndio atakae pita lakini mambo yamekuwa tofauti.
Aliyekuwa man of the match kwenye match takwimu zake ziko vizuri inaonesha wako vizuri. Kwenye mpira ukimtegemea mtu mmoja tu huyo wakimzibiti biashara wanamaliza mapema kabisa maana kuna beki lao lile la kifaransa linaitwa “ dayot Oswald upamecano “kama vvd hilo jasiri muongozA njia.atamzibiti mbape.



