Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Ubahili wenu utawaponza mnasajili vitoto kwa bei chee mnategemea nini

Minamino yupo wapi

Huyo dogo anakuja, ila hana pumzi ya kucheza epl, leteni miamba iliyokomaa tatizo mnapenda vitonga
 
Ubahili wenu utawaponza mnasajili vitoto kwa bei chee mnategemea nini

Minamino yupo wapi

Huyo dogo anakuja, ila hana pumzi ya kucheza epl, leteni miamba iliyokomaa tatizo mnapenda vitonga
Mchezaji anaejielewa ataenda Liverpool bhana
 
Lings sio WC hiyo nakubaliana na wewe
mimi nimesema Jlingz ni WC, wewe unasema sio WC na hapo hapo unasema unakubaliana na mimi........


sasa unakubaliana na mimi kwenye nini? mkuu huko shuleni ulienda kusomea ujinga? ()
 
Ubahili wenu utawaponza mnasajili vitoto kwa bei chee mnategemea nini

Minamino yupo wapi

Huyo dogo anakuja, ila hana pumzi ya kucheza epl, leteni miamba iliyokomaa tatizo mnapenda vitonga
kweli kabisa mkuu, Salah alikua kitonga, Robo kitonga, Shaqir kitonga, yan sisi tunapenda kitonga hatari......


vipi ozil anasemaje hapo london mkuu?
 
mimi nimesema Jlingz ni WC, wewe unasema sio WC na hapo hapo unasema unakubaliana na mimi........


sasa unakubaliana na mimi kwenye nini? mkuu huko shuleni ulienda kusomea ujinga? ()
Labda ni WC wewe sindo umeona sikupingi
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno
Hahahaha
Dah mpka rivals wanatupa ushauri dah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom