dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,467
- 7,429
Amestafu nadhan
Amestafu nadhan
Oh sawaAmestafu nadhan
Oh sawaAlivyotoka AT alisajiliwa Japan kwa msimu mmoja..
Point of correction alishastaafu atakua kwao huyu...
YNWA
Oh sawa
Huyu jama na Steven Gerrard walinifanya niipende hii timu.
I love them much
Hio combination ya Steve na Nando ilikua hot 🔥 🔥 🔥 🔥 too bad enzi hizo hatukua na uwezo wa kujenga kikosi, tulikua kama feeder club ya wengine aisee mchezaji akishaiva huyooo kwa wengine..Oh sawa
Huyu jama na Steven Gerrard walinifanya niipende hii timu.
I love them much
Mbona unacheka mkuu
Hio combination ya Steve na Nando ilikua hot too bad enzi hizo hatukua na uwezo wa kujenga kikosi, tulikua kama feeder club ya wengine aisee mchezaji akishaiva huyooo kwa wengine..
Wamiliki pia walituvuruga mno hawakua na umoja na bora walivurugana wakatokea hawa FSG japo nao mwanzoni walianza kwa kusuasua lakini baadae walikaa sawa...
Kwa sasa mchezaji anajiunga nasi kushinda makombe na sio kushiriki tu..
Thank you FSG, thank you Klopp..
YNWA
Alienda akiwa super star na wener nae tayali ni supa star?Mkuu unamkumbuka 'Torres' wa Chelsea vizuri sio yule wa Liverpool...
YNWA
Shukran kwa uwela wako mkuunadhani hujamwelewa, nilivoelewa mimi anauliza je timo ni bonge la mchezaji kama alivyokua torres?.......
ni kama anaona kwa timo kutokuanza moto haitakua shida as uwezo wake ni mdogo kuliko alivokua torres!
Suarez ila nilimpenda sana TorresKati ya Torres na Suarez yupi alikuwa mkali zaidi Anfield?
Nimekusoma Mkuu bila shaka Torres anatoka kwetu alishaiva kabisa..Alienda akiwa super star na wener nae tayali ni supa star?
nimekumbuka ule uzi ulisema umezaliwa 80Mbona unacheka mkuu
your audacity knows no bounds bro!Sisi tunaenda iwakilisha vyema England kwenye UEFA usiku wa leo..
Kipigo cha mbwa koko kitatembezwa kwa wale mbwa wa ujerumani adi washangae ..
Miaka kadhaa nyuma pale Allianz..tulibeba uefa wakiwa wanaona..
Sasa tunakwenda kupindua meza kibabe
Amini Kwamba
#CFC
hivi kilichozuia kununua ni ishu ya pesa au uhakika wa namba?...... yan kwenye ishu ya timo naona mauzauza tuNimekusoma Mkuu bila shaka Torres anatoka kwetu alishaiva kabisa..
Ndogo hizo level za Nando hajafika aisee..
Ki ufupi Timo ni super star in the making wakati kama ulivyosema Nando alishakua super star wakati anatoka kwetu..
Ilaaniwe Corona imebadili kabisa upepo wetu kweny hili dirisha la usajili huyu alikua aje kwetu mazima...
YNWA
nimekumbuka ule uzi ulisema umezaliwa 80
basi sawaa, ngoja ni
Kwahiyo umekuja kunicheka huku?
Mkuu tafadhali Sana,nikianza stori zangu hapa nitaharibu uzi wa watu
@babumaweHuu uzi ufutwe tu hauna hata ladha
Kuna vikauli fulani fulani hivi vya Klopp ni kama ishu ni pesa ndugu eti anadai ishu sio kusajili tu mbali kuna kulipa mishahara nk..hivi kilichozuia kununua ni ishu ya pesa au uhakika wa namba?...... yan kwenye ishu ya timo naona mauzauza tu