dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,956
- 8,344
na huu ndio ubaya wa klop, kwanini asiwatingishe kidogo hawa?.......Ukweli usiofichika ni kwamba Klopp aliwataka Auba, Pulisic, Werner, Fekir na Coutinho lakini Matajiri (FSG) wamegoma kutoa!
Nadhani wanafidia yale matumizi yao waliyofanya kwa VVD, Alisson, Fabinho na Keita.
Wamemuuza Solanke na Danny Ings kwa hela nzuri tu lakini hawakuzitumia kusajili mpaka leo.
Hapa tusubiri U16 asajiliwe tuambiwe anajenga Future.
wakati flani huwa nampenda mou, yeye ni very vocal kwenye usajili




