DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,878
Sasa kama wamekutana na mafundiI can't believe Champion team is playing such awful football
Sasa kama wamekutana na mafundiI can't believe Champion team is playing such awful football
Hakuna visingizio hiyo ndio Liverpool niijuayo na huo ndio uwezo wenu[emoji380][emoji380]What's happening here?
Hata kama hatuna cha kupoteza, hizi ni dharau kwa mashabiki.
We cannot be playing this poorly.
Nishachinja namnyonyoa nowVVD, the best defender in the world [emoji23][emoji1787]
Hakuna visingizio hiyo ndio Liverpool niijuayo na huo ndio uwezo wenu[emoji380][emoji380]
Akiendeleza hiyo style yake napiga 5[emoji380][emoji380][emoji380][emoji380][emoji380]Moja ya weakness kubwa ya VVD ni kupenda kucheza mipira ya kumrudishia golikipa, kiasi kwamba kwa strikers makini ni rahisi kumpredict.
[emoji380][emoji380][emoji239]Naona tuko kwenye preseason mood.
Tumalize tu hii ligi.
Visingizio kama Utopolo[emoji23][emoji23][emoji23] au mmewashiwa AC[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?Naona tuko kwenye preseason mood.
Tumalize tu hii ligi.
[emoji380][emoji380][emoji239]
Coyg
Nakunywa supu ya kuku nalala safi kabisa[emoji23][emoji23]
Aiseeeeh kuna muda pale ground kilioneshwa kile kikombe cha unbeaten cha gold,yaani mwili ulikuwa unasisimka mpaka nikachelewa kuchukua picha,Hongereni kwa kulibeba kombe lakini mkumbuke ni timu moja pekee iliyobeba kombe bila kupoteza hata mechi moja..... PIGIA MSTARI
Nilikwambia mapema mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongereni sana aisee.
Mmepigana.