Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwamba huyu hapa,

Captain wa mfano,

Capain hodari,

Kisiki kisichoimbwa,

Anachukiwa na mashabiki oya oya
Wachezaji chipukizi wenye uchu wa mafanikio Kuna mengi ya kujifunza kwa huyu jamaa,

Itawachukua karne nyingi Majogoo kupata Captain wa kariba hii,

Kila la kheri kamanda,Liver uliibeba mabegani mwako,Klopp aliingia mwilini mwako ukawa na spirit ya upambanaji na uongozi.
Klopp akimwelewa inatosha kabisa,

Nasubiri Arsenal warelease new kit ninunue niandike jina lako mgongoni.

View attachment 1506339
LIVERPOOL HALISI
 
Klopp anajua zaidi yako mkuu, na kwa kifupi siri ya mafanikio ya klabu ni hao watu wawili,

Nani asiyeyajua majogoo???
Klopp unamuona mjinga kumpa jamaa kitambaa aongoze jahazi!!!!
Dah mkuu ww ni mnafiki sana unaongea kama jamaa fulani hivi
 
Klopp anajua zaidi yako mkuu, na kwa kifupi siri ya mafanikio ya klabu ni hao watu wawili,

Nani asiyeyajua majogoo???
Klopp unamuona mjinga kumpa jamaa kitambaa aongoze jahazi!!!!
🙄 timu yako imekushinda umehamia kwetu
 
Dah mkuu ww ni mnafiki sana unaongea kama jamaa fulani hivi
Mimi sio mnafiki hata siku moja mzee,nanyooka tu
Haiwezekani Kocha akupe makombe ya kila aina alafu muje kusema hafai.....

Kuna siku nikaona watu wanajadili juu ya Klopp kupewa sifa ya kuwa kocha bora wa muda wote wa Liverpool,mnafikirisha sana nyie
Kama unataka Klopp awe kocha bora kwa lipi?jiulizeni kwanza.
Kwa hizohizo sifa zinazowafanya mumpe hiyo title kocha basi sifa hizo zinampa Le Capitain Jordan Brian Henderson kuwa nahodha bora wa muda wote Liverpool

Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Pia
Ukipenda boga penda na ua

Mafanikio ya Klopp yameletwa na huyu mwamba,UTAKE NI HIVYO USITAKE NI HIVYO.
 
Mkuu huyo C10 unamaanisha countinho???
Yes ndugu endapo atapatikana chini ya £60m na ilipwe kwa awamu aje tu ndugu anatufaa...

Hata Dembele wa Barca usije shangaa akatua maana nae kule ni kama kachemka..

Upepo wetu kwenye hili dirisha hausomeki kivile hivyo naona Edwards akipedelea zaidi wachezaji ambao walipo hawahitajiki na kwa sasa ni C10 na Dembele...

YNWA
 
Yes ndugu endapo atapatikana chini ya £60m na ilipwe kwa awamu aje tu ndugu anatufaa...

Hata Dembele wa Barca usije shangaa akatua maana nae kule ni kama kachemka..

Upepo wetu kwenye hili dirisha hausomeki kivile hivyo naona Edwards akipedelea zaidi wachezaji ambao walipo hawahitajiki na kwa sasa ni C10 na Dembele...

YNWA
Kwa mtazamo wangu dembele atatufaa kuliko C10
 
IMG_8424.jpg
 
Kudadek naona kesho inachelewa dah,tunataka tuwafundishe soka nyie viumbe
 
Tunawapiga handcap safi kabisa,

2 0

3 1

Au

4 2

Hii ni uhakika,usije na matokeo yako mfukoni,kilichomkuta utopolo leo zamu yenu.
Karibuni Emirates Stadium,mitutu ipo tayari kwa maangamizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom