Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama hapa Watu hawajaona tatizo basi kuna shida kwenye akili za Washabiki wa Liverpool.



Imagine tunamlazimisha Lovren kumuongezea Mkataba kweli kuna mpango wa kusajili hapa?
Haki ya nani kina Sterling wanacheka kusikia habari kama hizi coz wana uhakika wa kujipigia.
 
Mwamba huyu hapa,

Captain wa mfano,

Capain hodari,

Kisiki kisichoimbwa,

Anachukiwa na mashabiki oya oya
Wachezaji chipukizi wenye uchu wa mafanikio Kuna mengi ya kujifunza kwa huyu jamaa,

Itawachukua karne nyingi Majogoo kupata Captain wa kariba hii,


Kila la kheri kamanda,Liver uliibeba mabegani mwako,Klopp aliingia mwilini mwako ukawa na spirit ya upambanaji na uongozi.

Nasubiri Arsenal warelease new kit ninunue niandike jina lako mgongoni.

 
Mushaanza tena!!!
Musione tumenyamaza ni kwamba hatujachokozwa tu!!

Tumepigwa na!
1) ATM away Hendo ndani
2) ATM Home Hendo ndani
3) Watford Hendo ndani
4) Man City Hendo ndani

Drop na Manure Hendo ndani
Droo na Everton Hendo ndani
Ddroo na Burnley Hendo hakucheza ×
Still win ratio with him 90% while without him 60%?

Nadhani without him wanahesabu na zile game za FA na Carabao tulizokung'utwa na Aston Villa 5 kwa Mtungi

Haki ya Nani kuna Watu Stats zao wanatoa Kuzimu wakizani sisi ni Misukule hatujui kinachoendelea
Nakisemaga hapa mnaniona hater, nyie ni mabingwa wa kuokoteza vijirekodi na unazisapot vizuri tu,
ila hii unaipinga kwa kuwa wewe ni anti-Hendo
 
IMG_8420.jpg
 
Mwamba huyu hapa,

Captain wa mfano,

Capain hodari,

Kisiki kisichoimbwa,

Anachukiwa na mashabiki oya oya
Wachezaji chipukizi wenye uchu wa mafanikio Kuna mengi ya kujifunza kwa huyu jamaa,

Itawachukua karne nyingi Majogoo kupata Captain wa kariba hii,


Kila la kheri kamanda,Liver uliibeba mabegani mwako,Klopp aliingia mwilini mwako ukawa na spirit ya upambanaji na uongozi.

Nasubiri Arsenal warelease new kit ninunue niandike jina lako mgongoni.


We jamaa umenichekesha sana...!
 
Mushaanza tena!!!
Musione tumenyamaza ni kwamba hatujachokozwa tu!!

Tumepigwa na!
1) ATM away Hendo ndani
2) ATM Home Hendo ndani
3) Watford Hendo ndani
4) Man City Hendo ndani

Droo na Manure Hendo ndani
Droo na Everton Hendo ndani
Ddroo na Burnley Hendo hakucheza ×
Still win ratio with him 90% while without him 60%?

Nadhani without him wanahesabu na zile game za FA na Carabao tulizokung'utwa na Aston Villa 5 kwa Mtungi

Haki ya Nani kuna Watu Stats zao wanatoa Kuzimu wakizani sisi ni Misukule hatujui kinachoendelea
Hii vita na HENDO haitokuja isha humu

Binafsi Hendo kashanitoka moyoni kitambo sanaaa
 
Hii vita na HENDO haitokuja isha humu

Binafsi Hendo kashanitoka moyoni kitambo sanaaa
Mwamba huyu hapa,

Captain wa mfano,

Capain hodari,

Kisiki kisichoimbwa,

Anachukiwa na mashabiki oya oya
Wachezaji chipukizi wenye uchu wa mafanikio Kuna mengi ya kujifunza kwa huyu jamaa,

Itawachukua karne nyingi Majogoo kupata Captain wa kariba hii,

Kila la kheri kamanda,Liver uliibeba mabegani mwako,Klopp aliingia mwilini mwako ukawa na spirit ya upambanaji na uongozi.
Klopp akimwelewa inatosha kabisa,

Nasubiri Arsenal warelease new kit ninunue niandike jina lako mgongoni.

images%20(7).jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom