Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hizi ndiyo Mentality za kibingwa Mkuu! Man City hata akipoteza points 50 no one is care but Liverpoo ikipoteza point 1 tu lazima tujadili why!

So, kwa Guardiola kuwa nyuma ya Liverpool kwa points 23 sio issue kabisa kulingana na aina ya Timu ya Man City isiyo na Fanbase, but Liverpool kuwa nyuma ya Man City hata kwa point 1 kama last season lazima tuhoji na kukosoa kulingana na ukubwa wa Timu yetu na Fanbase.
Unaota mchana hivi ktk club zenye fan base kubwa loserfools hamuingii hata top 6 acha utahira ww
 
Green mwenye mbao zake
IMG-20200710-WA0009.jpg
 
Official: Bruno Fernandes' second goal against Brighton wins Premier League Goal of the Month for June #mulive
 
Kilichobakia huyu Kenge aliyejiunga JF Hivi juzi baada ya Shule kufungwa kutokana na Corona ni kumuignore tu nisione ujinga wake.

#Gpili_Ignored
Huyo fala tu, wapo wengi sana sasa hivi hao hasa kule katika jukwaa la watoto(toto forum)
 
Kilichobakia huyu Kenge aliyejiunga JF Hivi juzi baada ya Shule kufungwa kutokana na Corona ni kumuignore tu nisione ujinga wake.

#Gpili_Ignored
Me wakitambo sana nimebadilisha tu account na jina nimebadili jengine
 
Bruno Fernandes is the first player in Premier League history to hold the Player of the Month and Goal of the Month awards concurrently #MUFC [premier league]
 
Mtu mwenyewe unaitwa Gspot alafu wanaume wakiwa wanajadili yao wewe unajipitisha na khanga moko iliyolowana acha kabisaaaaa...!!
Msimu ujao goli nane zinarudi ..umesikia Mariam biriani
 
Bruno Fernandes is the first player in Premier League history to hold the Player of the Month and Goal of the Month awards concurrently #MUFC [premier league]
Hizi Gspot mbili zinamuwasha sana.
Atafutiwe migegedo ya kutosha huyu kijana.

Unaleta huo uchafu wako wa kiuno feni kwenye uzi wa mabingwa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom