Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Perfomance ya Keita ya jana unaeza taman asitafutwe CM mwingine kabisa
Hata ukitamani mkuu tunaeza apata mfano wake ikiwa Haervit kesha tushinda?

Tu unge unge tu hawa tulionao ila si Chambalini

Ni bora angepewa maisha Chillaveli badala yake.
 
Sawa mkuu, game zilizobaki hazina msisimko sana, ndiyo maana wadau wengi ni kama hawazitazami.

Mimi sasa hivi nalia na Firmino, kachoka kama sungura kwenye sizitaki mbichi hizi.

Hili tatizo la kunyemelea wachezaji wasiozitaka timu zao ikisha tukawakosa bado najiaminisha kuwa 'Sio kwamba Klopp Hawataki wachezaji hao' au hataki kusajili, Bali nahisi ni mkakati wa FSG kutotumia hela ndefu baada ya Matumizi makubwa waliyoyafanya kwa Keita, Fabinho, VVD na Alison.
 
Sawa mkuu, game zilizobaki hazina msisimko sana, ndiyo maana wadau wengi ni kama hawazitazami.

Mimi sasa hivi nalia na Firmino, kachoka kama sungura kwenye sizitaki mbichi hizi.
Hahaha lool my Boy Bobby is undergoing a dry spell Mkuu...

He will come back loaded with bags full of assist, goals, tackles, cohesion etc, alive as usual when he is on song...

YNWA
 
Hili tatizo la kunyemelea wachezaji wasiozitaka timu zao ikisha tukawakosa bado najiaminisha kuwa 'Sio kwamba Klopp Hawataki wachezaji hao' au hataki kusajili, Bali nahisi ni mkakati wa FSG kutotumia hela ndefu baada ya Matumizi makubwa waliyoyafanya kwa Keita, Fabinho, VVD na Alison.

Very probably, mimi matajiri huwa siwaamini kabisa, na mara nyingi mzigo una waangukia makocha kumbe unakuta hela haitoshi.

Ndo maana tumekimbilia Minamino, na huyu ndo sioni akiwa mchezaji mkali.
 
Hahaha lool my Boy Bobby is undergoing a dry spell Mkuu...

He will come back loaded with bags full of assist, goals, tackles, cohesion etc, alive as usual when he is on song...

YNWA

Yaani Bobby ameshafikia ceiling tayari, hawezi kutupa kile tunachotaka kutoka kwake.

Same kwa Wijnadlum na Ox.
 
Yaani Bobby ameshafikia ceiling tayari, hawezi kutupa kile tunachotaka kutoka kwake.

Same kwa Wijnadlum na Ox.
Cant say otherwise if this post covid form yake sio temporary then boy is heading South big time... Personally i still got hope he will turn this around and too bad his number 2 in Origi pia yale yale kwa sasa..

May be its for the best ili the management wa react and bring a proper 9 to make us more lethal and accurate pale golini.. Main hindrance ni bei na mshahara for a proclaimed finisher wont come on the cheap..

Klopp might want that ila sasa mkwaja nao ni ishu..

He has to sort the defence at least 1 signing CB with Lovren departing..

Adrian akiodoka we need a proper backup keeper.. Karius golini give me goosebumps man...

One creative MF na huu ukata naona C10 akirudi aidha kwa mkopo with an option to buy ama anunuliwe cheaply but with an extended payment plan...

Nwa bado naamini behind the scenes Barry Hunter yupo kazini na Edwards kuweka mambo sawa...

YNWA
 
Edwards job at Liverpool...

Edwards' job is to lead the club in terms of player identification and recruitment, liaising with the coaching team while negotiating with agents, clubs and chairmen and overseeing the club's vast scouting network.

He, in short, takes the lead on transfers, with the business side of the club left to Peter Moore, the chief executive.

YNWA
 
Whats if wrapping the sweet EPL mapema has taken off some steam of this boys lool....

Ox and Gini... Bado tunao and made you Gini will sign a new contract sooner...

Kazi ipo...

YNWA

Bobby has been this way toka msimu ulivyoanza, na tumekuwa tunasema he will bounce back.

Sema kwa vile timu inashinda, lakini jamaa yuko off kabisa, na kwa mtazamo wangu ndiyo chanzo kikubwa cha kutofanya vizuri UEFA kwenye makundi na kutolewa kwenye 16 bora.
 
No player has scored more Premier League goals from outside the box than Mason Greenwood this season (4) #mufc [sky]
 
Greenwood is just 18 yrs but has scored 9 Epl goals.. Firmino too has 8 goals from a total 94 shots this season.. If Firmino was one who shot Tupac,Tupac would've been alive today
 
Greenwood is just 18 yrs but has scored 9 Epl goals.. Firmino too has 8 goals from a total 94 shots this season.. If Firmino was one who shot Tupac,Tupac would've been alive today
Endelea kuatafuta nafas ya kucheza na club Brugge kwenye europa na greenwood wako
544ebd184f156d03b90abf25b7e41bb0.jpeg
 
If this season Liverpool had fallen 23 points behind City and lost more games than Arsenal I'm pretty sure Klopp would be subject to far more criticism than Guardiola has been. And Klopp hasn't spent a billion pounds.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app

Yes, because Liverpool FC is way bigger than Man City.

When you get to LFC, you are expected to offer the best, failure is not tolerated.

Mind you, teams have different missions and visions, while other teams' missions are to win matches, LFCs mission is to win Championships and remain the Greatest Team in Europe.
 
Greenwood is just 18 yrs but has scored 9 Epl goals.. Firmino too has 8 goals from a total 94 shots this season.. If Firmino was one who shot Tupac,Tupac would've been alive today

Mbwa jike akiwa kwenye joto anazunguka zunguka kutafuta wanaume kitaa, tumekuelewa. Tutakutafuta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom