Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_8379.jpg
 
Labda umeamua tu kujitoa ufahamu kwa kuchanganya majina ya udhamini na mfumo wa ligi, hayo uliyoyataja hapo ni majina ya wadhamini wa ligi,ligi itabaki kuwa ni EPL (Englis Premier League) na kuanzia hiyo 2016 ligi haikuwa na mdhamini...

Hongereni sana kwa ubingwaView attachment 1500595

Na ndiyo mana nikakwambia 'uje na childish argument'.

Sasa kombe la 'CARABAO' tuliite jina gani? Kwasababu CARABAO ndiye aliyelidhamini.
 
Labda umeamua tu kujitoa ufahamu kwa kuchanganya majina ya udhamini na mfumo wa ligi, hayo uliyoyataja hapo ni majina ya wadhamini wa ligi,ligi itabaki kuwa ni EPL (Englis Premier League) na kuanzia hiyo 2016 ligi haikuwa na mdhamini...

Hongereni sana kwa ubingwaView attachment 1500595

Sasa kwanini hukubali ukiambiwa CHELSEA ndiye Mfalme wa London wakati ana makombe mengi ya Premier League kuliko Arsenal?

Chelsea ana 5
Arsenal wna 3

But ili uonekane una Makombe mengi ya Ligi kuliko Chelsea ndiyo unahesabu mpaka ya League 1.
 
Sasa kwanini hukubali ukiambiwa CHELSEA ndiye Mfalme wa London wakati ana makombe mengi ya Premier League kuliko Arsenal?

Chelsea ana 5
Arsenal wna 3

But ili uonekane una Makombe mengi ya Ligi kuliko Chelsea ndiyo unahesabu mpaka ya League 1.
Sijawahi kukataa hilo , ila hujafatilia kauli zangu vizuri,
Kule jukwaa la vitoto Chelsea huwa nawakomalia kuwa nna makombe mengi kwa ujumla wake,kauli yangu kwao ni "WAKUSANYE MAKOMBE YAO YOTE TUPIGE HESABU"hapo nawalaza chaliiiii....

Nikija hapa "NINA MATAJI MENGI YA EPL KULIKO NYINYI"

Na kina Penison wakija kule kwetu wanadai niwaoneshe UEFA , hapo mimi natoka nawaachia vumbi.
 
Sijawahi kukataa hilo , ila hujafatilia kauli zangu vizuri,
Kule jukwaa la vitoto Chelsea huwa nawakomalia kuwa nna makombe mengi kwa ujumla wake,kauli yangu kwao ni "WAKUSANYE MAKOMBE YAO YOTE TUPIGE HESABU"hapo nawalaza chaliiiii....

Nikija hapa "NINA MATAJI MENGI YA EPL KULIKO NYINYI"

Na kina Penison wakija kule kwetu wanadai niwaoneshe UEFA , hapo mimi natoka nawaachia vumbi.

Kwa hiyo mzee unabadilika kutegemea na eneo ulilopo.

Umenikumbusha, kuna clip moja dada anaulizwa "Are you married?", akajibu kwa kusema it depends on who is asking and the environment.
 
Ile Party ya Ubingwa (Liverpool) si ndo hii sasa. Ni pale Mercury Park Magomeni siku ya Jmosi tarehe 11/7/2020, ataliwa ng'ombe mzima buuureee. Tutakunywa supu, tutachoma nyama na kula pilau kwa ushiriki wa Jezi yako tu. Kama uko Dar ndiyo fursa sasa. Thibitisha Ushiriki wako kwa kunitumia jina lako kupitia 0716109169 ama 0755057229.
IMG_20200708_110026_048.jpg
 
Brighton XI: Webster, Stephens, Gross, Propper, Burn, Dunk, Ryan, Trossard, Maupay, Mac Allister, T. Lamptey

Subs: Button, Murray, Duffy, Mooy, Montoya, Jahanbakhsh, Bernardo, Bissouma, Connolly

Liverpool XI: Wijnaldum, Henderson, Alisson, Firmino, Oxlade-Chamberlain, Salah, Van Dijk, Joe Gomez, Naby Keita, Alexander-Arnold, Neco Williams

Subs: Milner, Adrian, Minamino, Mane, Origi, Fabinho, Robertson, Curtis Jones, Elliott
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom