DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Acha dharau ya kuifananisha Arsenal na UtopoloSometime huwa nasema sisi ni Arsenal iliyichangamka
Acha dharau ya kuifananisha Arsenal na UtopoloSometime huwa nasema sisi ni Arsenal iliyichangamka
Watford mmemalizana nao?Kati ya game 5 zilizobaki, ngumu ni ya Chelsea, ingawa nao wanafungika.
Tunahitaji 12 points kufika 101 points, tuvunje record ya City.


Umekuwa sangoma mkuu???Game zilizobaki ni Brighton, Burnley, Arsenal, Chelsea na Newcastle.
Sioni hata draw moja humo.
Watford mmemalizana nao?
Football bwana dah,inafanyaga comment kama hizi utamani zijifute .
Umekuwa sangoma mkuu???
SokaNikiacha bange starehe yangu iwe nini sasa
Ulijua kama Watford ndio watatoboa tundu mkuu?Watford toka atufunge hajafunga tena, na anapambana kutoshuka.



Acheni kuungaunga vijirekodi![]()
Ulijua kama Watford ndio watatoboa tundu mkuu?
Enjoy soka bro,
Hapa ball tu.
Tuseme tayari muna izo point..aya mushavunja rekodi. HongereniKati ya game 5 zilizobaki, ngumu ni ya Chelsea, ingawa nao wanafungika.
Tunahitaji 12 points kufika 101 points, tuvunje record ya City.
Tuseme tayari muna izo point..aya mushavunja rekodi. Hongereni
Hahahaha dah Hahahaha aise huu sasa uchokozi.Sometime huwa nasema sisi ni Arsenal iliyichangamka
Hapana kila timu ishinde mechi zake..Asanteni, au tuwaachie hizo point 15 muingie top 4?
Tupe matokeo mkuu.
😳😳😳😳Tupe matokeo mkuu.