Kwa mimi hapoNadhani tunaangalia vitu katika mfumo unaotofautiana.
Unachojaribu kufanya ni ku devalue ubingwa huu kwa kisa eti amepoteza mechi zaidi ya moja ukilinganisha na Chelsea aliyewahi kuchukua kwa kufungwa mechi moja.
Maswali yangu ni mawili:
1. Arsenal aliyemaliza bila kufungwa, unamweka daraja gani?
2. Liverpool alishawahi kupoteza moja na hakuwa bingwa, je hiki ni bora kuliko kuwa bingwa kwa kufungwa mechi nyingi?
Kwahiyo umefurahia kichapo[emoji23]Hata tufungwe 30 I don't care
EPL ipo kabatini roho nyeupe
Hahahahahahahahah
Kwa utabiri huu unaweza tabiri hata Rais ajaye wa SMZ.Navyomjua pep tukishangaa tunaweza kula mkono saafi
JECHA mkuu anachukua .mkoa wa zanzibarKwa utabiri huu unaweza tabiri hata Rais ajaye wa SMZ.
Hata tufungwe mechi zote zilizobakia ,hata tushike nafasi ya 7 next season sina deni kwa hii team sina deni kwa ManagerKwahiyo umefurahia kichapo[emoji23]
Kwa mimi hapo
Arsenal namweka daraja la Nyerere
Liverpool namweka daraja la mto ng'ombe
Chelsea namweka daraja la kwatumbo
Idara ya maturubai Ollachuga Oc nafikiri atakuwa njiani sasa, punde atawasili.
Sisi tunaendelea kuomboleza na kufariji wafiwa maana huu msiba inasemekana marehemu alikuwa ana ukwasi wa kutosha ,hiyo inafanya nyuso za wafiwa kuwa na nuru kwa mbali.
Nakazia🔨, misimu hii miwili liver imekata kiu yangu kubwa sanaa, trophy zote tulizochukua hakika hakuna ninachoidai hii timu, kilichobaki ni kuendelea kusupport team katika hali zote., Asante sana Liverpool, asante sana klopp. #YNWAHata tufungwe mechi zote zilizobakia ,hata tushike nafasi ya 7 next season sina deni kwa hii team sina deni kwa Manager
EPL ndio ilikuwa kiu yangu tu
Hivyo yani, si unajua misiba ya kitajiri mkuu....watu wanalia kwa swaga, sio kulia mpaka kugalagala,mwendo wa leso na miwani myeusi.[emoji41]Hahaha, kwamba wana msiba ila wanashangilia.
Game yetu na Mancity sisemi kuwa tutafungwa au tutashinda kwani kabla ya Game mechi huwa ni Draw. But this game gonna expose our squad.
Naweza kuwa tofauti na wewe kidogo katika hili, but naweza kukubaliana na wewe tu kuhusu suala la kusajili basi maana hili ni muhimu sana, tukutane next seasonSignings kwa Timu yetu ni jambo lisiloepukika!
Izingatiwe kuwa wachezaji wetu wengi wameshafika kwenye Peak zao! Sio rahisi kuboreka tena zaidi ya pale walipo.
Firmino not the same! He's finished ingawa wengi hawapendi haya maneno! But angalia assists na magoli yake Msimu huu then utajua What I mean.
Gini age is matter
Hendo age
Milner age
Salah reached his peak, he's starting to decline
Robertson reached his peak, same to Salah
Matip age