Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adrian alisaini miaka miwili japo kuna timu zimeonyesha kumhitaji kwao Spain..

Karius nae amerejea mazima...

Yupo ndogo mmoja kipa kutoka Uturuki Klopp alikua anamnyatia sasa itagemea kama Karius ataodoka ama Adrian...

Hivyo kwa dirisha hili sidhani kama kipa ni priority sana kwa Klopp...

Pazuri ni kwamba ukuta kuna uwezekano ukaimarishwa aisee maana kua na mapancha watu in Gomez, Matip na Lovren ni jipu ndugu... Hapo Lovren ndio major culprit he is addicted and prone to costly mistakes...

YNWA
Tunahitaji makipa wenye kiwango wa kumsaidia Becker in case kaumia au kapigwa kadi, aisee kutegemea hawa mapazia kama backup kisa unaukuta imara sio sahihi kabisa, gemu ya ATM beki yetu ilipambana dakika mia kumlinda Adrian, lkn pazia letu likaja likatumia dakika kumi kuharibu kazi iliyofanywa na beki kwa dakika mia
 
Tunahitaji makipa wenye kiwango wa kumsaidia Becker in case kaumia au kapigwa kadi, aisee kutegemea hawa mapazia kama backup kisa unaukuta imara sio sahihi kabisa, gemu ya ATM beki yetu ilipambana dakika mia kumlinda Adrian, lkn pazia letu likaja likatumia dakika kumi kuharibu kazi iliyofanywa na beki kwa dakika mia

Siyo kitu rahisi kuwa na kipa mzuri halafu awe backup.

Tofauti na mchezaji wa ndani, ukiwa backup unaweza kukaa hata msimu mzima hujacheza, especially kwenye ligi na UEFA kama kipa namba moja hajaumia.
 
Tunahitaji makipa wenye kiwango wa kumsaidia Becker in case kaumia au kapigwa kadi, aisee kutegemea hawa mapazia kama backup kisa unaukuta imara sio sahihi kabisa, gemu ya ATM beki yetu ilipambana dakika mia kumlinda Adrian, lkn pazia letu likaja likatumia dakika kumi kuharibu kazi iliyofanywa na beki kwa dakika mia
Yale mashoot ya morata wewe ungeweza kudaka, ATM yale majamaa ni shida

 
Siyo kitu rahisi kuwa na kipa mzuri halafu awe backup.

Tofauti na mchezaji wa ndani, ukiwa backup unaweza kukaa hata msimu mzima hujacheza, especially kwenye ligi na UEFA kama kipa namba moja hajaumia.
Siyo kitu rahisi lkn kinawezekana mkuu naona karibia timu zote kubwa zina makipa wa backup wenye kiwango karibia sawa na ma-starter kasoro tu Liverpool tumezidiwa hadi na Tottenham
 
Siyo kitu rahisi lkn kinawezekana mkuu naona karibia timu zote kubwa zina makipa wa backup wenye kiwango karibia sawa na ma-starter kasoro tu Liverpool tumezidiwa hadi na Tottenham
Ukiacha mechi dhidi ya Atletico, Adrian alijitahidi sana, ni Bora yeye mara elfu kuliko Karius,

Hizo team nyingine pamoja na ubora wa makipa walionao lakini wamebondwa mara kibao,

Nadhani walinzi wakiwa imara na washambuliaji nao wakiwa moto kipa anaweza akaamua kusoma gazeti
 
PIGA KELELEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Keleeeeeeeeeeeekeleeeeeeeeee
tapatalk_1593272112725.jpg
 
IMG_9342.png

Best Captain ever to lead modern Liverpool squad!
We love you our greatest captain Hendo
Tunasubiri unyanyue tena kwapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom