Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

STEVEN GERRARD, SEE YOU AGAIN MY FRIEND…

Siku Steven Gerrard anaagwa pale Anfield hakika machozi yalinilenga ila sikulia na niliwaza saana itakuwaje Liverpool bila yake , ni ukweli usiopingika inaanza klabu ndio anafuata mchezaji hakuna aliye mkubwa kuliko timu . Hakika mapenzi ni upofu na unachokiona wewe mimi sikioni kama umemuona Xavi mimi nimemuona Gerrard , kila kitu kina sababu duniani na mimi sababu ya kupenda mpira alikua Steven Gerrard niliamini naamini na nitaendelea kuamini huyu ndiye mchezaji bora wa muda wote ( the best there was , the best there is and the best ever will be)…

Steven Gerrard alinipa maana halisi ya soka la kipiganaji na mapambano bila kukata tamaa kuna muda naangalia mpira naona kivuli chake , Pogba alimkaba shingo Jordan Handerson tena katika North West Derby lakini Jordan alipotezea tu sijui Gerrard angefanya nini ?, Salah anavunjwa bega na Ramos tena anatoka analia lakini sikuona kisasi kutoka kwa kina Handerson na kina Lovren hakika angekuwepo Gerrard damu ingemwagika pale , Mechi na Olympiacos 2005 jamaa anapiga goli la 3 la ushindi ile namba nane haionekani vizuri imechafuka tope japo ni marudio lakini mwili unasisimka Mungu niletee Gerrard mwingine nakuomba , Gerrard alianza vurugu akiwa timu za vijana hadi viongozi wa Liverpool walijua kabisa akiendelea kuchezea timu za watoto watakua wanatwanga maji kwenye kinu ..

Nikikumbuka namna Gerrard alikua anapiga zile Sliding Tackle nafurahi sana yaani ule ujasiri wa kuingia uvunguni mwa Roy Keane nani angeweza ? , huyu Roy Keane ndio alikua anastaafisha watu kwa kuwavunja miguu , akiwa na miaka 20 msimu wa 2000/2001 aliingia kwenye kikosi cha msimu cha ligi kuu tena kama kiungo tunakumbushana tu enzi izo kiungo kilikua kiungo haswa Patrick Vieira , Roy Keane , Emanuel Petit , Paul Scholes , Nick Butt , Frank Lampard , David Beckam , . David Moyes aliwahi sema kwanini aiogope Liverpool wakati haina Gerrard , Michael Owen nae aliwahi kama atakwenda kucheza mechi yoyote duniani basi mtu wa kwanza atamchagua Gerrard , Patric Vieira alimshangaa Gerrard hamuogopi anampiga viatu tu , Klopp amewahi sema kau nahodha wa Liverpool ni kazi ya lawama sababu nahodha aliyepita alikua ni Gerrard….

Vita katika eneo la kiungo zinaamuliwa na watu wagumu kama Steven Gerrard kiungo bila ngumi , mateke , viatu , mashuti makali na ufundi ni sawa na bure , saivi mtu anakwenda hadi hatua kumi bado hajalazwa chini sasa unaachaje kuwakumbuka kina Gerrard na Roy Keane ? . Uongozi wa Liverpool ulikua katika mawazo ya kumtema sababu kijana sababu kila akiingia sub lazima alaze watu hata kama anacheza winga , kijana wa miaka 19 anapata kadi nyekundu tena bila onyo baada ya kumvunja Kelvin Campbell , baada ya kukabidhiwa unahodha 2003 kocha Gerrard Houllier alisema kijana alistahili kuwa nahodha tangu anapandishwa timu za wakubwa ila walisubiri akue kiakili maana muda wowote angeicost timu . Lampard amewahi sema kukutana na Gerrard Anfield ni hatari sana wala sio nzuri kiafya atakuumiza , UEFA wametoa kikosi bora chao kutoka 2000-2010 na Gerrard yumo , akiwa hajawahi beba EPL lakini kaingia kwenye kikosi cha msimu mara nane , naomba sana nikiwa hai aje Gerrard mwingine …

Moja ya kitu ninachopenda kutoka kwa makapteni wa kiingereza ni sura zao za kazi wanazoweka kipindi wapo kwenye korido , Messi anacheka cheka tu Ramos anabusu watu ovyo ovyo Ronaldo ndio kwanza anashikashika ndevu , embu mcheki John Terry au Steven Gerrard mwenyewe yaani raha tupu nakwambia ipo raha kwenye ukauzu .
 
Hahaha forgive the boy and let him come back...

Since he left us ameteseka vya kutosha...

He should be welcomed with both arms and have him resurrect his career...

Technically his sale has won us big time maana we managed to gets Allison and VVD from the proceeds of his sale and Klopp also has to re shape the playing sytle after he left... So to me its was us who had the last laugh...

YNWA

Ninachohisi anapigania kupata namba ya kucheza Mara kwa Mara baada ya kukosa alichodhani atakipata

Ni talented, Yes; big yes

Bado ata-struggle akija
 
Sure.
Ila nahisi kuna youth atapandishwa. Kufanya partner mechi za fa carabao na kupewa couple of minutes kwenye epl.
Next season will be damn tough in EPL,..

If City lose thier UCL appeal means thier main target will be EPL...

Chelsea sasa wanaruhusiwa kusajili and so far thier target pick thier current form wakihamia darajani watakua 🔥 🔥 🔥 🔥

Manchester United now this time round naona usajili wao hawana pupa after so many mistakes they wonna make its right and challenge EPL and most likely wataikosa UCL next season thus concentrating na EPL...

Tottenham, Wolves, Blades have shown they aint giving up easily...


With that said and mostly tubakishe the game changers in our squad of whom ni Mane, Allison, VVD, Salah, Gini, Bobbi, Robbo, Fabby, TAA.. Itabidi ki ukweli we supplement whats we have maana luck has been in our side without freaking injuries..

Keita, Ox na Origi ni serial performers we cant expect them if we have major injuries....

Edwards should be working virtually to bring us ready made acquisition sio otherwise...

YNWA
 
Ninachohisi anapigania kupata namba ya kucheza Mara kwa Mara baada ya kukosa alichodhani atakipata

Ni talented, Yes; big yes

Bado ata-struggle akija

We need him man maana Barca are ready to pay half his salary kuliko arejee kwao...

Klopp as you know we have some really calculative owners hivyo sioni akipewa mkwaja wa kueleweka labda wa ku cover all the areas that need back up...

After all akija C10 anakuja kwa mkopo sio cash...

YNWA
 
We need him man maana Barca are ready to pay half his salary kuliko arejee kwao...

Klopp as you know we have some really calculative owners hivyo sioni akipewa mkwaja wa kueleweka labda wa ku cover all the areas that need back up...

After all akija C10 anakuja kwa mkopo sio cash...

YNWA

Let's wait tuone, usisahau the big ego ya Klopp

Kwenye kusajili kipindi hiki sidhani sana maana hata Klopp aligusia kuhusu kupunguza gharama hasa za kuleta new signs (za bei kubwa)

Ila the magician, I still hate this kid to be honest
 
Refa wetu against Everton

IMG_3303.JPG
 
Next season will be damn tough in EPL,..

If City lose thier UCL appeal means thier main target will be EPL...

Chelsea sasa wanaruhusiwa kusajili and so far thier target pick thier current form wakihamia darajani watakua

Manchester United now this time round naona usajili wao hawana pupa after so many mistakes they wonna make its right and challenge EPL and most likely wataikosa UCL next season thus concentrating na EPL...

Tottenham, Wolves, Blades have shown they aint giving up easily...


With that said and mostly tubakishe the game changers in our squad of whom ni Mane, Allison, VVD, Salah, Gini, Bobbi, Robbo, Fabby, TAA.. Itabidi ki ukweli we supplement whats we have maana luck has been in our side without freaking injuries..

Keita, Ox na Origi ni serial performers we cant expect them if we have major injuries....

Edwards should be working virtually to bring us ready made acquisition sio otherwise...

YNWA
Sure will be tougher than this one. Ila naamini edward na klopp they are planing wanafanya upembuzi yakinifu to ensure wanapatikana affordable players (both favourable price tag and potential.)
 
Sure will be tougher than this one. Ila naamini edward na klopp they are planing wanafanya upembuzi yakinifu to ensure wanapatikana affordable players (both favourable price tag and potential.)
True kabisa....

My only worry is covid has affected our coffers just like other team....

Now when its comes to making signing main issues comes into play like the price tag and the salary, for example Timo price was favourable at 53m but his £200k salary per week was damn enormous for us and made you he wont be 1st starter as we already have our main formidable front 3...

Covid will hinder our main target this window...

Have seen now Edwards has to offload a bunch of players before entering the market to buy,.. Shaqir, Lovren, Grujic, Wilson, Origi, Karius has to go....

Well they is still have time to put things in order...

YNWA
 
Let's wait tuone, usisahau the big ego ya Klopp

Kwenye kusajili kipindi hiki sidhani sana maana hata Klopp aligusia kuhusu kupunguza gharama hasa za kuleta new signs (za bei kubwa)

Ila the magician, I still hate this kid to be honest
Hahaha the magician need us and we need him its a win win situation for us...

Keita has been a failure poor boy the injuries cant keep off him...

We need to spice the middle of the park and C10 suit us big time...

Dont hate him..his sale brought us the real winners we have in the squad.. That is Allison and VVD and for that am grateful.. Its has made us better and solid in the back...

YNWA
 
Hello Fans,

I'm back again

Leo naanza na swali la kiuchokozi tu kwa Mashabiki wenzangu wa Liverpool.

Kwanini Timu yetu inapotaka mchezaji sote tunaisupport kwa 100% na hatuoneshi doubt yoyote ile juu ya mchezaji huyo, Lakini inapotokezea kumkosa mchezaji huyo kwa any reason wanaibuka baadhi ya Watu na kuacha uchambuzi wa kusema "HE IS NOT A TYPE OF KLOPP'S PLAYER"?

Mfano hai ni:
1) Nabil Fekir
2) Pulisic
3) Werner

Hao wachezaji tulipowataka hapakuwa na wachambuzi bali palikuwa na watu ambao tupo very curious kuona tunawanasa watu hawa, lakini tulipowakosa tu kukaibuka Wachambuzi wakasema "Sio aina ya wachezaji ambao Klopp anawahitaji, Hawawezi kuendana na mfumo wa Klopp".

Kwanini tunakuwa Wachambuzi wa kuona mapungufu baada ya kukosa tu? Au ndiyo sizitaki hizi mbichi?

Nawasilisha.

Nimeanza na Uchokozi

I'm Troublemaker

#SISINIMABINGWA
 
Hii style (Appearance) aliyokuja nayo Bobby anaonekana kama Haramia flani hivi kutoka Asia ya Kati may be Srilanka au Bangladesh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom