Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,057
- 2,637
Atletico ndiye aliwatoa bikira hawa jamaa, kuanzia sasa ni mtelezo tu



Hapana. Hio hela tumia kuvuta application ya allfootball utazipata GIF
Sio ishu ya plastics fan. Ila kati hakuna kitu no tackling kabisa. Wapinzani wanapita kama wanatembea bustanini. Na vyote hivyo vya alikuwa anafanya hendo sema kama kawaida yenu mnasemaga ooh hakuna kitu anafanya. Na mpk arudi tutakuwa tumeshazalilishwa vya kutosha.Leo hendo atapewa sifa ambazo hajawahi kuzipata toka azaliwe kutoka kwa plastic fan wa liverpool.