Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimelazimika kuukaa kimya ila honestly nilivyoona Keita kapondwa vile nikahisi nimeangalia mpira vibaya au lah siwezi kuangalia mpira kiufundi
Hao ndo wale lazima Hendo acheze nnashaka ndo anategemewa na kamati ya ufundi mana si chapuo hili

Mimi si mtu wa stutas ila Keita juzi kapondwa sana kama kacheza vibaya ila pamoja na ubovu alo onye unaweza kuta kamzidi stutas Hendo.

Kunamtu alisema hakabi namii nimeona kapora mipira kama mitatu hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimelazimika kuukaa kimya ila honestly nilivyoona Keita kapondwa vile nikahisi nimeangalia mpira vibaya au lah siwezi kuangalia mpira kiufundi

Sent using Jamii Forums mobile app
Keita is pure class minus the injuries...

The Keita we signed was only alive zile gemu last season za Vs Hammers na vs Palace kama sikosei we won around 4 or 3 goals.. Baada ya hapo Keita hajawai kurejea kwenye hio form amekua na recurring injuries kiasi u might think the boy is cursed man...

Mjadala wa Keita ni ishu sana maana he ain't a robot kila baada ya lay off arudi na makali lazima kuna kipindi cha ku recover na build game fitness sasa hapo ndio pazito maana wakati anaanza ku pick utasikia tena Keita nje wiki 4 bla bla...

Hopefully he can stay off injuries and apate game time ya kutosha then we can at least say we have a real 8 here ama RB screwed us big time...

YNWA
 
Keita anaenda msimu wa pili kila siku anaumia tu.... Msimu huu Hendo yuko form sana
Boy fitness is letting him down big time and he is stressed as we are... Its ain't easy getting injured every two games etc na awe normal jamani...

If he can stay full time fitness like 6 games in a row then we can have a proper conversation about this baller and twister boy...

YNWA
 
Man we are heading in the right direction...

The club is in good hands,the owners, the management, coaching department, the players, the fans and our business partners have made this turn around of our fortunes more solid day by day...

They ain't selfish owners rather than visionaries we have here accepting to invest all the cash they do to buying players, upgrading Kirkby to accommodate the staff, the junior teams and our 1st team all in one place come next season is fantastic guys...that means Klopp will have full access to the likes of Jones etc..

Now more good news aiming to increase Anfield capacity to 61,000 lol that must sending chills to opposition visiting our fotress maana more noise guys...

Wish them the very best...

From almost going under to making this billions is just awesome...

YNWA
 
Boy fitness is letting him down big time and he is stressed as we are... Its ain't easy getting injured every two games etc na awe normal jamani...

If he can stay full time fitness like 6 games in a row then we can have a proper conversation about this baller and twister boy...

YNWA
Sijawahi kuwa na shaka na uwezo wa Keita... but ila majeruhi ndio yananifanya nisemehe haya... ila keita ni keita
 
IMG-20200227-WA0017.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuwa na shaka na uwezo wa Keita... but ila majeruhi ndio yananifanya nisemehe haya... ila keita ni keita
Same here ndugu... Yaani sijui jamaa kipi kifanyike tusahau haya majereha yake mara Kwa mara maana yanamkatisha tamaa kila akianza kuamsha huyoo majeruhi...

Msimu ujao hali ikiwa bado hivi itakua hakuna namna tumrudishe RB watupe jembe lingine pengine kule huu upepo utatulia...

YNWA
 
Keita is pure class minus the injuries...

The Keita we signed was only alive zile gemu last season za Vs Hammers na vs Palace kama sikosei we won around 4 or 3 goals.. Baada ya hapo Keita hajawai kurejea kwenye hio form amekua na recurring injuries kiasi u might think the boy is cursed man...

Mjadala wa Keita ni ishu sana maana he ain't a robot kila baada ya lay off arudi na makali lazima kuna kipindi cha ku recover na build game fitness sasa hapo ndio pazito maana wakati anaanza ku pick utasikia tena Keita nje wiki 4 bla bla...

Hopefully he can stay off injuries and apate game time ya kutosha then we can at least say we have a real 8 here ama RB screwed us big time...

YNWA
Mechi ya juzi alibolonga au hakucheza kwa kiwango chake?

Mana hata Chambo alivyo ingia sikuona zaidi ya lile shuti hakuongeza kitu japo si fundi wa kuangalia mpira
 
Lengo lako Hendo acheze namba ngapi?
Tumesha ambiwa Hendo anamchango mkubwa si uwanjani tu bali nje ya uwanja hivyo usitegemee tutasajili mchezaji wa namba yake atakae mzidi kiwango hilo sahau mkuu.


Timo werner anapigiwa chapuo na vyombo vya habari atue Liverpool sijui kunani mpaka wamsukumie huku?
Hahaha... mimi kwa hendo ata sitii neno mkuu.
Mafuta yatajitenga na maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ya juzi alibolonga au hakucheza kwa kiwango chake?

Mana hata Chambo alivyo ingia sikuona zaidi ya lile shuti hakuongeza kitu japo si fundi wa kuangalia mpira
Mkuu Keita sio tu juzi ndugu mbali kwa mechi nyingi tu hatupi tunachotarajia tukione kwake pengine hii inatokana na muda mwingine kuchezeshwa nafasi 'asiyopenda' na kadhalika...

Binafsi naona haya majereha yakujirudia yamemwadhiri mno kiasi hatuelewi lini tena tutaona ule ukali wake na pia akiwa bila jeraha lolote hata mechi 3 mfululizo...

Keita kama hali itaedelea hivi hivi aisee naona January 2021 aruhusiwa kurudi RB 🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙄🙄 pale hatukosi jembe lingine...

Ukweli ni kwamba benchi letu limepwaya hivyo hatuna namna ni kuwategemea hao Chambo, Keita, Origi, Lallana... Takumi naona huyu anahitaji preseason ili amwelewa vyema Klopp maana kwa sasa hatuna muda wa trials mbali tunataka matokeo...

Natarajia baada ya akina Lallana, Shaqir nk kuondoka klabu itasajili vyema...

Kwa sasa ndugu hatuna namna ni akina Salah wawe wanamaliza gemu mpaka wanapata sub pointi zinakua kibondoni..

By the way magoli ya Chambo Kwa kushinda pointi muhimu yupo juu aisee..

YNWA
 
Lengo lako Hendo acheze namba ngapi?
Tumesha ambiwa Hendo anamchango mkubwa si uwanjani tu bali nje ya uwanja hivyo usitegemee tutasajili mchezaji wa namba yake atakae mzidi kiwango hilo sahau mkuu.


Timo werner anapigiwa chapuo na vyombo vya habari atue Liverpool sijui kunani mpaka wamsukumie huku?
Hahahaha ebu muachane Le Kapteini apone...ni contender wa mambo makubwa sana...

Ndugu Manga ML pamoja ni vijana wetu pale mbele kufunga magoli mengi sana na kutufanya kuwa kileleni mwa ligi wewe ni shahidi pia tunakosa magoli mengi tu mpaka inafika mahala tunaanza kusema huyu ameshuka kiwango huyu mbinafsi nk hivyo Tunahitaji mchezaji 'katili' pale mbele zaidi ya tulionao Kwa sasa na huyo si mwingine mbali ni Timo huyu anawazidi front three wetu kwa magoli na mengine, pia anacheza popote pale mbele ndio maana anahitajika kuongeza magoli na kusaidia kutetea ubingwa wetu...

Lakini Mkuu wewe ungependelea tumnunue nani pale mbele?

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom