Mkuu me pia baad ya kumuona walker bas nikaingiwa na mashakaBaadhi ya Vitu ambavyo vinatia mashaka kuhusu source ya hizi Ranking kama ni kweli zinatoka FIFA ni:-
1) Ederson ahead of Oblak?
2) Dani Alves???? He's Veteran now.
3) Zincheko?
4) Fabinho attacking Mid? Since when?
5) No Ronaldo in Top 10 foward?
Una haki aiseeLiverpool HALISI tuanze sasa maandalizi ya kushangilia EPL yetu
Tulibezwa sana hadi kuambiwa Klopp kuchukua EPL mbele ya Pep labda akaliibe kombe
Tulibezwa kuwa Man City ana kikosi kipana sana,anatoka mtu anaingia mtu
Tulibezwa sana kama Captain Hendo hawezi cheza team yyt EPL
Naomba mni add whatsap kama kuna group la wana Liverpool halisi,sio Liverpool feki walio kuwa wanatukana team wkt Klopp anaijenga
Tanzania siku za karibuni limeibuka kundi kwa gafla ,halijua matumizi ya lugha, sehemu ya "ha" inawekwa "a" , "m" inawekwa "mu"
Itajuwa fake news.
Ila hata FIFA kuna muda wanachakachua vikosi, mfano mwaka jana Ramos ilibidi awekwe mbili ili kumu-accomodate baada ya VVD kushikilia namba 5
tukiweka unafiki kando, hata pale liver wote wakiwa fit hendo anaweza kaa bench!...... yes, msimu huu ameongeza sana kiwango ila still ni average player......Hizi Media na baadhi ya Wachambuzi uchwara wanaogaiwa Airtime ndiyo wanaofanya baadhi ya Wachezaji wawe wanachukiwa.
- Ivi Sterling ni kweli average player kiasi ya kwamba hakuna Media ya Kiengereza yeyote inayomuona?
- Kweli anachokifanya Gomez hakionekani pale EPL?
- Kweli KDB anapewa sifa anayostahili? Hivi Media za Kiengereza hazimuoni kwa kile anachokifanya?
Ukweli usiofichika kwasasa KDB ni Ballon D'or contender kama haki itatendeka! Na Obviously ni EPL player of the season.
But cha kushangaza kila Media unayopita unakutana na Picha ya Hendo yenye maneno "He's so close to be a player of the season",..... " Best Midfielder at this current season "..... "He's a complete Midfielder"...... " He carries Liverpool at his own shoulders "..... " Best Captain Ever to lead Liverpool "...... The key of Liverpool's success".....
Yani anapewa sifa zaidi ya uwezo wake.
Kaka dully, bado nasubiri uweke hiyo link
Hujui hayo matusi ndo yalo msaidia kuimarisha kikosi?Una haki aisee
Klopp katukanwa sana wakati anaijenga Liverpool
Mkuu umejenga hoja nzuri sana hapaHizi Media na baadhi ya Wachambuzi uchwara wanaogaiwa Airtime ndiyo wanaofanya baadhi ya Wachezaji wawe wanachukiwa.
- Ivi Sterling ni kweli average player kiasi ya kwamba hakuna Media ya Kiengereza yeyote inayomuona?
- Kweli anachokifanya Gomez hakionekani pale EPL?
- Kweli KDB anapewa sifa anayostahili? Hivi Media za Kiengereza hazimuoni kwa kile anachokifanya?
Ukweli usiofichika kwasasa KDB ni Ballon D'or contender kama haki itatendeka! Na Obviously ni EPL player of the season.
But cha kushangaza kila Media unayopita unakutana na Picha ya Hendo yenye maneno "He's so close to be a player of the season",..... " Best Midfielder at this current season "..... "He's a complete Midfielder"...... " He carries Liverpool at his own shoulders "..... " Best Captain Ever to lead Liverpool "...... The key of Liverpool's success".....
Yani anapewa sifa zaidi ya uwezo wake.
HahaUna haki aisee
Klopp katukanwa sana wakati anaijenga Liverpool
Ilikua;Haha
Dah mkuu Aron
Kwahiyo kitendo cha klopp kumuweka FABINHO nje na kumchezesha HENDO DM almost msimu mzima ww kama mtu wa mpira ulikuwa unakichukuliaje na Klopp ulikuwa unamchukuliaje??? na at the same time watu waliliona hili kuwa klopp alikuwa anazingua kumchezesha HENDO hiyo role lkn alikuja kuamini muda ushatupiga mkono mkuu kwel mpk hili Klopp yey ni nani asilaumiwe ??
Wow forgotten hero Adrian lol... This boy gave us what we couldn't get from useless Simon and Karius...Ilikua;
Haamini katika usajili zaidi zaidi kwenye mazoezi.
Uhalisia: ujio wa VVD ALI SALAH FABY ROBBO GINI ADRIAN KEITA SHAQIRI kupanda kwa TAA ndio umetufanya tuwe hapa.
Hendo anazaidi ya 8 yrs lfc hatukuwahi kua na ubora wa sasa tena akiwa kijana kiumri iweje itokee yeye ndiye atubebe umri ukiwa umeenda, kwa kiwango cha kupewa headline ahead of mtu kama KDB,?
Wanasema player of the season mbona ndani(timu) na nje (ligi) hawampi hata player of the month.
Sote tunakubali hendo yupo kwenye kiwango bora sana kwenye maisha yake ya soka ila anakua more overrated, hatusikii Gomes, Beckor, Firmino kina kdb madison wakipewa hizi heko.
Player of season kupewa hendo ni ngumu sana.
All in all we are liverpool lets enjoy success we have till now.
YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulikuwepo hapa mkuuUna haki aisee
Klopp katukanwa sana wakati anaijenga Liverpool
Mkuu ww unaweza ukampinga Klopp akiweka mipango yake ya nani acheze wapi?Haha
Dah mkuu Aron
Kwahiyo kitendo cha klopp kumuweka FABINHO nje na kumchezesha HENDO DM almost msimu mzima ww kama mtu wa mpira ulikuwa unakichukuliaje na Klopp ulikuwa unamchukuliaje??? na at the same time watu waliliona hili kuwa klopp alikuwa anazingua kumchezesha HENDO hiyo role lkn alikuja kuamini muda ushatupiga mkono mkuu kwel mpk hili Klopp yey ni nani asilaumiwe ??
You are a hater of henderson period.Hizi Media na baadhi ya Wachambuzi uchwara wanaogaiwa Airtime ndiyo wanaofanya baadhi ya Wachezaji wawe wanachukiwa.
- Ivi Sterling ni kweli average player kiasi ya kwamba hakuna Media ya Kiengereza yeyote inayomuona?
- Kweli anachokifanya Gomez hakionekani pale EPL?
- Kweli KDB anapewa sifa anayostahili? Hivi Media za Kiengereza hazimuoni kwa kile anachokifanya?
Ukweli usiofichika kwasasa KDB ni Ballon D'or contender kama haki itatendeka! Na Obviously ni EPL player of the season.
But cha kushangaza kila Media unayopita unakutana na Picha ya Hendo yenye maneno "He's so close to be a player of the season",..... " Best Midfielder at this current season "..... "He's a complete Midfielder"...... " He carries Liverpool at his own shoulders "..... " Best Captain Ever to lead Liverpool "...... The key of Liverpool's success".....
Yani anapewa sifa zaidi ya uwezo wake.
Hv kuna mtu anaongoza kwa kutukanwa pale liver kama henderson hata tukifukua message za zaman kwenye hili jukwaa nadhan yy ndo anaongoza kwa kupondwa na mashabik wake hilo had mashabik wa timu nyingine wanalijua .cha kushangaza ww unasema anapaishwaMkuu umejenga hoja nzuri sana hapa
Unajua watu tukiongea sana tunaonekana tuna chuki na Hendo lkn ukwel ni kwamba Hendo ni anapaishwa kupita uwezo wake
Ni wakati wa kuipa Liverpool heshima nyingi wanazostahiki kwa uwezo wao wa msimu huu, huku tukisubiri kuona rekodi zinazovunjwa na kuweka rekodi zao kila wikiendi.
Wana Liverpool tanzania nzima tumeamua kufanya sherehe shangwe na nderemo kusherehekea ubingwa huu wa kihistoria hasa pale tutakapo vunja vunja record zote zawapinzani Wetu
Shime wana Liverpool kuazimia kwa pamoja kufanya sherehe hizi kilele chake zitakua sanjari na Siku ya kukabidhiwa kombe LA, EPL
Sherehe hiz kilele chake zitafanyika jijini dar resalam
Wilaya ya kinondoni Kijitonyama kwenye uwanja wa wazi
Sehemu ambayo itapambwa na mabendera na mapicha ya Liverpool pamoja na kuwapandisha stejini wasanii kadha wakadha ambao ni makop wenzetu Tanzania nzima
kula na kunywa kwapamoja
Tukio ambalo litatanguliwa uchangiaji wa damu salama
Kutembelea magereza kwandugu zetu
Kutoa misaada kwa vituo vya watoto mayatima
Kufanya kazi zakijamii nakadhalika
Hakika itakua nisiku ya shamra shamra kwa wana Liverpool wote
Tupo tunapambana kujua na kufanya mikoa yote ya Tanzania
Lengo nikuboresha udugu mshikamano na kuitangaza TANZANIA NA LIVERPOOL KWA UJUMLA
YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
You are a hater of henderson period.
Na ameumia nahic unaficha hisia zako za furaha .zimwage tu hadharan tuzione[emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app