Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama hili nalo unalibishia basi sawa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ile 2 weeks break imetuponza, mpaka march 11 tutakuwa tumerudi kwenye ubora wetu
Kabisa aisee there is no proper rhythm, no critical intensity, TAA crosses a bit off probably na hali ya hewa inachangia...

But we are Liverpool we make the impossible to be possible..

Klopp have plenty of time to sit down with the data guys, the coaching department, the players and analyse the situation we have here and get answers... That the Klopp I know...

YNWA
 
Huyo ndio Diego el chollo Simeon

Kwa kudefend tu ,mourinho akasome
Hahaha pale kuna kocha wao wa fitness au conditioning anaitwa Oscar Ortega ndugu yule babu ni habari nyingine..

Kwanza ukisajiliwa lazima akufanyishe zoezi aidha utapike ama uzimie ndio mwende sawa ndugu...

Usione wale jamaa wamewapoteza akina Jafran, Godin, Luis nk pale nyuma na bado wapo compact ni kazi inafanyika aisee si ya kitoto...

Silaha yao kuu wakati wa ku defend ama kushambulia ni cohesion and discipline..

YNWA
 
Kashinda 2-0 na Juve akaenda pigwa 3-0 Turin
Atletico OUT
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…