Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kabisa ndogo yupo juu aisee...
Hopefully atabaki nasi sana tu..
YNWA
Kabisa ndogo yupo juu aisee...
Salahukiwa ndio wewe utachagua lipi?
aiseee!Salah
He the only one you can swap with mbappe.... Mane will not fetch Salah priceaiseee!
Hii habari ipo ndugu hata Steve G captain fantastic amedhibitisha hilo..
Wakamilishe wampe gerrard medaliHii habari ipo ndugu hata Steve G captain fantastic amedhibitisha hilo..
Ishu kuu ni kwamba EPL wanafanya uchunguzi wao kuona kama kati ya kipindi tajwa kuanzia nadhani 2012 mpaka 2016 Manchester City walipika taarifa maana taarifa wanazowashilisha Uefa ndio hizo hizo wanatakiwa kuwashilisha EPL ili kupata leseni ya EPL hivyo ni mpaka uchunguzi wa hili jambo ukamilike na adhabu itolewe ndio tutajua ni kipi kinawakumba City ligi ya ndani...
Kwa sasa fingers crossed mkuu..
YNWA
Haha Kwa hio tunapata mbili Kwa mpigo man yajayo yanafurahisha
Probably well equipped to handle the winds..View attachment 1360958View attachment 1360959
The Premier League will start using new matchball this weekend.
Ushindi wa mezani vipi tena kamanda wakati hao city ni walaghai na wezi wakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app






Tupeane mwongozo jamaa zangu.
Leo napo tunaenda na matokeo?
Ama tusubiri dakika 90!
Mimi naomba nisubiri dakika 90!Tupeane mwongozo jamaa zangu.
Leo napo tunaenda na matokeo?
Ama tusubiri dakika 90!