Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,729
- 3,498
Iliyo pita na ya leo amecheza na stats zimemfata zenyewe.kwa sababu hiyo umeona magoli yalivyo mengi leo.
Akiendelea hivi tutapata magoli mengi na huenda akawa mfungaji bara tena
'mtindilo'
Ndo icho nachokisemea
Ukilazimisha unaharibu, ukiwa mpole unatesa miaka yote
Sent from my iPhone using JamiiForums
zinazunguka





