Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sometimes tunashangaza kwa marumbano yasiyo na hoja zenye shida, timu inashinda kila siku, na timu inawachezaji wengi na karibia wote ni wa muhimu, hakuna mtu ambaye hataki kufunga magoli, hata Becker naye ataka kufunga sema kwa sababu yeye huwa anakaa mbali tu na goli la wapinzani, tusikariri kwamba ushindi wa muhimu lazima kila mechi afunge Salah, Mane, au Firmino, mm kwangu cha muhimu ni matokeo ya ushindi na kupata points 3, afunge mchezaji yo yote cha msingi matokeo yapatikane. Tuachane na mambo yasiyo na tija sana katika umoja wetu. Kuna kauli wakati Fergusson akiwa bado kocha aliwahi kuwajibu watu waliomuuliza kwann timu haichezi mpira mzuri na kupiga pasi nyingi za uhakika, aliwaambia tu ya kwamba inakuwa ni ujinga na upuuzi mkubwa sana kupiga mpira mwingi, pasi nyingi halafu hamfungi mnaishia kufungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
This fanbase is so weird brother..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Traore mnayemsifia ana uwezo gani wa kutafuta magoli ya kupatia timu matokeo ya muhimu pale inahitajika zaidi ya kutumia maguvu na kukimbizana uwanjani? Hivi watu wanasahau kwamba hata goli la pili juzi 60% ni kazi kubwa sana aliyoifanya Salah kabla ya kutoa pasi kwa Hendo then kwa Firmino ndo tukafunga goli la pili, so kama ni mgawanyo wa asilimia goli la pili dhidi ya Wolves, Salah 60%, Hendo 5% na Firmino 35% Jumla 100% Nyavu zikatikisika.

Sent using Jamii Forums mobile app
People wants a 20 goals per season winger to be replaced by Traore who cant even score 6-7 goals per season..


So weird.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.. According to me yeah he has been shit and a super bam until Keita and Fabby got heavy knocks and change of formation has done him wonders and now we are witnessing what he should have been doing for the past 9 seasons... We signed him when he was 20 and he had to wait when he is 29 to really hit the roof...

YNWA
Man, muache captain wangu..


I'm warning you..


Best MF in LFC's history..


Better Captain than SG, souness etc..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu pekee iliyokuwa inaweza kutusimamisha ni wolves
You're wrong..


Everton & City away will be even bad..


Can bet on this new Arsenal too, it wont be easy..


We will win at Watford, but it will be tricky pia..


And even at Anfield, Southampton wont be pushovers..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hukuona athari za kuondoka hao Watu?

Are you sure?

Owen?
Torres?
Suarez?

Fine! Nimekuolewa sana bro..
Kuona athari na kuwa hofu na athari ni Vitu viwili tofauti

Mimi mwenzako hata kuumia kwa Matip tu kulinipa hofu achiliambali kuhama kwa mchezaji hata Gini.
Aisee unatumia nguvu nyingi kujieleza..


Hahahahaha



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes, he's better than KDB/Kante/De Jong/kroos/Thiago/pjanic/Verrati etc

They cant bench him at all, because kila manager in the world anatumia work-horses kwenye his MF.

Oh! At 6, my captain is better than Fabinho/Casemiro/Busquets/Rodri etc

My Captain.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha sijui kama huwa anahoji anachoambiwa na mwalim
 
You're wrong..


Everton & City away will be even bad..


Can bet on this new Arsenal too, it wont be easy..


We will win at Watford, but it will be tricky pia..


And even at Anfield, Southampton wont be pushovers..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ya wolves kuna muda nilikuwa natoa machozi, ukizingatia their pace na chances tulizokuwa tunakosa, yaah hazitakuwa rahisi ila naamini Nuno ni mmoja wa walimu wazuri sana EPL
 
With Afcon back in Jan 2021 I can foresee a very busy summer for Klopp and his scouting department...

Am very pessimistic about Mane not joining Madrid come June, I mean he would have won all major trophies out there for us Madrid bald gaffer is big fan of this tiger boy...

Hopefully we will have a proper back up plan if any of our joy bringers decide to look for new challenge elsewhere...

Grujic is ready now to claim a start and have Jones as his back up thus if Lallana, Shaqir do leave that not a worry anyway...

Backline need a serious plan in June I mean even VVD immediate subordinate is our bald baddest Fabinho in our squad and lucky we are, even when Fabby was injured nothing happened to VVD he has clocked every minutes in this EPL season....

We have no proper back up players in left center back, Left back, Right back.. Come June Klopp need a thorough look in this can't want to see we Laporte route next season...

What of Traore kaka I fancy this kid a lot.. He is coming of age now after being so raw for long... Under Nuno boy is now finding his rhythm... Klopp can make him the next Gaucho if he ever suit his style..

Otherwise Dejan, Clyne hata sasa ikitokea ofa waondoke tu...

YNWA
We will be missing Salah/Mane and Keita for 6 weeks..

Possibility ya kuingia kwenye market ni kubwa, but Klopp will target young players who will be ready to seat on the bench and wait to get adjusted taratibu..

Because, kama kati ya Salah or Mane mmoja wao hataondoka, itakuwa ngumu kwa Klopp ku-rotate his front 3 again kwa msimu mzima..

So, we'll target young dudes (werner/Sancho/Havertz/Aouar)..who are below 22..

Shaqiri is 29, so i think he will be moved.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salah will have those nights when at times things seems to go the other way but one thing is that will never put him down nor belittle his spirits, he will keep on trying and trying that what Klopp demands of this Pharaoh...

When he is on the filed he pegs back opposition backline to go forward as they know his threat...

He do piss me a bit at times but am all in praise for this bearded boy, he has made us better and better...

VVD, Allison and Salah were the missing part of puzzle to make us a complete unit like we are now..how his name is sung at the Kops means they understand his contribution to what we are proud of now..

He ain't Messi but he never said he is thus making this dribbles and shot that don't end up where he wished will happen shouldn't make him look like he costed us the 19th guys... Its coming home..

Salah and crew are doing what's others have failed for the past 30 years to bring us the sweetie 19th trophy ... I mean we have had so many incredible players like Kuyt, Owen, Fowler, Torres, Steve, Surez nk and they didn't hit this levels we are witnessing now..

We are lucky to have this boys they give so much to make us fans this happy we are...

I salute this Last Pharaoh.. He is just human and human is to errors...

YNWA
To be honest, i understand this Salah's crticism, and yes, he's been selfish, and nobody cant even deny it..

But, tangu mwanzo nilikuwa nawaambia watu humu kuwa, people just hate Salah, they're not critisize him, they're dismissing him, na kwasasa unaona kinachoendelea, they want him sold.

Hakuna mchezaji ambaye yupo juu ya team, SG alikuwa anakosolewa akicheza hivyo, most decorated LFC players kama Phil Neal/Hansen/Dalglish/Barnes/Souness etc, walikuwa wanakosolewa wakizingua (ask M-mbabe, atakwambia, he witnessed these players at their peak, LIVE), sasa sembuse Salah?

But, kama nilivyosema mwanzo, ukiwa unataka kumkosoa mchezaji aina ya Salah, jiandae vizuri, because he's not a bum like Hendo/Downing/Jovanovic/Lallana/Lambert/Lovren etc..

He didnt need extra coaching to reach at this level, he's one of the top 5 players who changed the status of this football club, ask Klopp, he will tell you the same..

Respect this player man, yes he's deserves kokosolewa for his Selfishness (same as Fowler/Torres and Sturridge), but sold? Because ya kuwa mchoyo? How may points ametushindia this season? Can you compare points alizotupa msimu huu na his selfishness spells?

Man, i cursed him a lot kwa ile chance ya Takumi, but doesnt mean i want him sold, he's a 200m player, his replacement should replace his goals output...




Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom