MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
So he should be sold now?Enz zile alikuwa ndo timu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Because he's not carrying us anymore?
How ungreatful.
Sent using Jamii Forums mobile app
So he should be sold now?Enz zile alikuwa ndo timu
Sent from my iPhone using JamiiForums
This fanbase is so weird brother..Sometimes tunashangaza kwa marumbano yasiyo na hoja zenye shida, timu inashinda kila siku, na timu inawachezaji wengi na karibia wote ni wa muhimu, hakuna mtu ambaye hataki kufunga magoli, hata Becker naye ataka kufunga sema kwa sababu yeye huwa anakaa mbali tu na goli la wapinzani, tusikariri kwamba ushindi wa muhimu lazima kila mechi afunge Salah, Mane, au Firmino, mm kwangu cha muhimu ni matokeo ya ushindi na kupata points 3, afunge mchezaji yo yote cha msingi matokeo yapatikane. Tuachane na mambo yasiyo na tija sana katika umoja wetu. Kuna kauli wakati Fergusson akiwa bado kocha aliwahi kuwajibu watu waliomuuliza kwann timu haichezi mpira mzuri na kupiga pasi nyingi za uhakika, aliwaambia tu ya kwamba inakuwa ni ujinga na upuuzi mkubwa sana kupiga mpira mwingi, pasi nyingi halafu hamfungi mnaishia kufungwa
Sent using Jamii Forums mobile app
People wants a 20 goals per season winger to be replaced by Traore who cant even score 6-7 goals per season..Huyo Traore mnayemsifia ana uwezo gani wa kutafuta magoli ya kupatia timu matokeo ya muhimu pale inahitajika zaidi ya kutumia maguvu na kukimbizana uwanjani? Hivi watu wanasahau kwamba hata goli la pili juzi 60% ni kazi kubwa sana aliyoifanya Salah kabla ya kutoa pasi kwa Hendo then kwa Firmino ndo tukafunga goli la pili, so kama ni mgawanyo wa asilimia goli la pili dhidi ya Wolves, Salah 60%, Hendo 5% na Firmino 35% Jumla 100% Nyavu zikatikisika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Henderson is everything chief..It's a team game banaaaaa
Man, muache captain wangu.... According to me yeah he has been shit and a super bam until Keita and Fabby got heavy knocks and change of formation has done him wonders and now we are witnessing what he should have been doing for the past 9 seasons... We signed him when he was 20 and he had to wait when he is 29 to really hit the roof...
YNWA
Unakimbia Henderson propaganda..I am out guys, mpaka either tuifikie 49 ya Arsenal au siku tutakayofungwa kabla ya hiyo record.
Nitawasamehe wachezaji kama tukifungwa na City game ya 49, otherwise ni fimbo kuanzia kipa mpaka benchi.
Ox who is been outperformed by Mr. Jordan Brian Henderson?afadhali OX kuliko keita
You're wrong..Timu pekee iliyokuwa inaweza kutusimamisha ni wolves
Siyo Henderson?Aliondoka torres akandoka suarez aliondoka owen. Sijawahi kuwaga na hofu ya mtu yoyote akiondoka liverpo.
Labda kidogo now akiondoka Van dyk
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee unatumia nguvu nyingi kujieleza..Hivi hukuona athari za kuondoka hao Watu?
Are you sure?
Owen?
Torres?
Suarez?
Fine! Nimekuolewa sana bro..
Kuona athari na kuwa hofu na athari ni Vitu viwili tofauti
Mimi mwenzako hata kuumia kwa Matip tu kulinipa hofu achiliambali kuhama kwa mchezaji hata Gini.
No, the truth is hawakuwepo wakati wa shida za LFC..
Hahahaha sijui kama huwa anahoji anachoambiwa na mwalimYes, he's better than KDB/Kante/De Jong/kroos/Thiago/pjanic/Verrati etc
They cant bench him at all, because kila manager in the world anatumia work-horses kwenye his MF.
Oh! At 6, my captain is better than Fabinho/Casemiro/Busquets/Rodri etc
My Captain.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ya wolves kuna muda nilikuwa natoa machozi, ukizingatia their pace na chances tulizokuwa tunakosa, yaah hazitakuwa rahisi ila naamini Nuno ni mmoja wa walimu wazuri sana EPLYou're wrong..
Everton & City away will be even bad..
Can bet on this new Arsenal too, it wont be easy..
We will win at Watford, but it will be tricky pia..
And even at Anfield, Southampton wont be pushovers..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama timu itatoa dau kubwa let it be, ila still naona salah ni mtu muhimu kwenye timu
We will be missing Salah/Mane and Keita for 6 weeks..With Afcon back in Jan 2021 I can foresee a very busy summer for Klopp and his scouting department...
Am very pessimistic about Mane not joining Madrid come June, I mean he would have won all major trophies out there for us Madrid bald gaffer is big fan of this tiger boy...
Hopefully we will have a proper back up plan if any of our joy bringers decide to look for new challenge elsewhere...
Grujic is ready now to claim a start and have Jones as his back up thus if Lallana, Shaqir do leave that not a worry anyway...
Backline need a serious plan in June I mean even VVD immediate subordinate is our bald baddest Fabinho in our squad and lucky we are, even when Fabby was injured nothing happened to VVD he has clocked every minutes in this EPL season....
We have no proper back up players in left center back, Left back, Right back.. Come June Klopp need a thorough look in this can't want to see we Laporte route next season...
What of Traore kaka I fancy this kid a lot.. He is coming of age now after being so raw for long... Under Nuno boy is now finding his rhythm... Klopp can make him the next Gaucho if he ever suit his style..
Otherwise Dejan, Clyne hata sasa ikitokea ofa waondoke tu...
YNWA
To be honest, i understand this Salah's crticism, and yes, he's been selfish, and nobody cant even deny it..Salah will have those nights when at times things seems to go the other way but one thing is that will never put him down nor belittle his spirits, he will keep on trying and trying that what Klopp demands of this Pharaoh...
When he is on the filed he pegs back opposition backline to go forward as they know his threat...
He do piss me a bit at times but am all in praise for this bearded boy, he has made us better and better...
VVD, Allison and Salah were the missing part of puzzle to make us a complete unit like we are now..how his name is sung at the Kops means they understand his contribution to what we are proud of now..
He ain't Messi but he never said he is thus making this dribbles and shot that don't end up where he wished will happen shouldn't make him look like he costed us the 19th guys... Its coming home..
Salah and crew are doing what's others have failed for the past 30 years to bring us the sweetie 19th trophy ... I mean we have had so many incredible players like Kuyt, Owen, Fowler, Torres, Steve, Surez nk and they didn't hit this levels we are witnessing now..
We are lucky to have this boys they give so much to make us fans this happy we are...
I salute this Last Pharaoh.. He is just human and human is to errors...
YNWA