Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

either way, front 3 yetu inahitaji sana damu mpya kabla hawaja burn out...... wanaelekea kuburn out hawa jamaa watatu ni vyema mmoja akaondoshwa zije damu nyingine atleast 2 za uhakika (timo + mwingine).... itasaidia in the long run

Sent using Jamii Forums mobile app
Klopp targeting the likes of Havertz/ Aouar and the signing of Takumi inaonesha ana-plan hiyo tayari, not just for the front 3 but the whole first team..

Only players wenye miaka zaidi ya 27 watakao-survive first Team football mpaka kufikia 2024 ni VVD na Bobby tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ROBERTO FIRMINO "BOBBY" Striker Version.9.10.11.7.8.6
.
Roberto Firmino a.k.a "Bobby" mzaliwa wa pale Brazil nchi inayoliishi na kulipumua soka
.
Pale jiji la Maceió, jiji namba moja kwa matukio hatari ya utekaji, tattoo wanachora ata kwa wembe, amini usiamini, na ndipo alipotoa roho ya upambanaji
.
Mitaa ambayo cocaine ina bei sawa na karanga, Bobby aliuza madafu ufukweni uku akipiga danadana, mbona fresh tu, Brazil huku sisi tushazoea
.
Marcellus Portella daktari na mtaalamu wa meno (dentist) ndie aliemuona Bobby na kumpigania kupata timu akiamini ipo siku atacheza timu ya taifa, kitu ambacho ni kigumu na chenye heshima kwa waBrazil
.
Marcellus alimtoa Clube de Regatas ambapo alipokua daktari wa timu kisha akampeleka Figuerense, na kuanzia hapo akawa wakala wake na udaktari ukabaki kwenye vyeti, hiyo ndo power ya football
.
Baadae 2014 akaenda Hoffenheim pale Germany, anafunga goli 16 anachukua ile tuzo ya "Best Breakthrough Player Award"
.
2015 akaenda Liverpool, Liver yenye Benteke, kocha Brendan Rodgers winga ya kulia, pia nyuma ya striker, ila haikuwahi fanikiwa kupata chemistry na Benteke
.
Anakuja Jurgen Klop yule Benteke kando, akampa Firmino role ya false 9, toka hapo amekuwa muhimu zaidi safu ya ushambuliaji
.
Bobby hakupi goli 20+ ila anakupa kitu ambacho hakuna striker mwingine anakupa, ni version mpya ya striker, anakuja chini anakaba, anapiga pasi na assist
.
Watu wa IT wamempa code name V.9.10.11.7.8.6 hizo namba hapo Bobby ndani ya mechi moja anafika pote na anafanya kazi zake
.
Maisha ya soka alianza kama kiungo mkabaji, ila kipingi yupo katika majaribio "trial" Figuerense alifunga tikitaka mbili, kuanzia hapo akawa striker
.
Anavyo nyumbulika ni kama hana kiuno, mguu kama hauna ankle vile, macho ya ki'Asia, roho na tabasam la ki'Palestina
.
Karibuni amekuwa mfungaji wa magoli muhimu, tangu Club World Cup hata usiku wa jana, timu ilicheza kawaida tu ila don't worry, you got Bobby, Bang Game Over
.
Bobby ni King of Celebrations, smile lake linatoa harara, yale meno meupe kwenye jua akikenua anakuumiza macho , sababu amelelewa na dentist sasa kwanini meno yasing'ae
.
Ana Speed, Control, Vision.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Steve, he's not even important than Henderson.


My captain is the heart of our team.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yah man..wondering some "wise man" here wanna give others their eye of football...believing that our eyes can not see proper..when these our bad eyes noticed in the past that Hendo or Lallana or Karius were not doing well,the "wiseman" believed our eyes of football..the problem comes when Salah is not seen good by our eyes..the wise eyes will teach us how to see Salah...
Next time, andika kwa kiswahili brother.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kama UEFA ile mechi ya kwanza, ye ndo alikuwa tatizo pale
Analazimisha kutengeneza clip kwa Jordi Alba badala ya kufyatua tushinde
Mechi ya pili angekuwepo tusingepita walah
Mechi na Everton hakucheza tukampiga Blues za kutosha tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
This is a bad take, for someone aliyecheza mpira..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana nasema wachambuzi wetu wabongo hawajui kuchambua
Timu kama Liverpool inatengeneza nafasi nyingi sana kias kwamba yoyote akiwa mbele atafunga tu
Huyu Salah analostisha chance kibao
Ni kama mtu anakosa chance 20 moja akipata kila mtu anampongeza kisa katengeneza stats, its all about playing with people’s minds


Sent from my iPhone using JamiiForums
Man City creates more chances than us, matter of fact a lot of teams creates more chances than us..

Firmino underperfoming his XG (goals & assits) by 2.8% per game

Salah, 1.2% per game..

Mane, 0.3% per game..

Meaning we creating less than last season..

Our own creating machine is Trent, robbo is not the same this season..


We cant creat many chances with three workhoreses in the MF, kipindi tulicho-create chances nyingi ni wakati Keita anacheza..

You played footie, how can a three 3-man defensive MF create many chances?

Au unadhani kila mpira unaoingia kwenye opponent box ni Chances creation?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Jamaa niliwahi kukwambia unashida, na leo nakwambia tena unashida brother.

Nadhani kwenye huu Uzi ni wewe pekee u ayeamini kuwa akiwepo mchezaji Flani unaweza kushinda au usishinde.

Hivi kuna Mchezaji Duniani anayefikia hata nusu ya ubora wa Messi?

- Je hakuna game ambazo Messi anacheza na Barcelona ikafungwa?
- Je hakuna mechi ambazo Messi hajacheza na Barcelona ikashinda?
Je umewahi kuchagua games hizo za Barcelona na ukasema Barcelona ikiwa haina Messi ndiyo inashinda?

Mbona tumecheza na Manure bila ya Salah tukatoka Sare lakini alipokuwepo Salah tumewafunga 2 - 0 hilo hujalitolea mfano?

Yani leo ni zaidi ya Mara ya 5 umekomalia hizo mechi 2 vs Barcelona na Everton utadhani ndiyo mechi pekee Liverpool walizocheza.

Hapa tulikuwa tukimponda Henderson lakini hatukuwahi kusema kuwa Asipocheza Henderson ndiyo tunashinda au Akicheza yeye tunafungwa! Acha hizo brother! Mlaumu tu mchezaji lakini hiyo kusema angecheza mechi Flani tusingeshinda hayo siyo maneno ya Kimpira kabisa.

EPL tumecheza michezo 23 na mchezo mmoja ambao hakucheza ndiyo tumetoa sare je kuna aliyelizungumzia hilo? Coz ni useless stat.

Badilika Brother sasahivi kila Mtu yupo positive na Timu.

Sasa Wewe endelea kuamini kuwa Akicheza Salah hatushindi kwasababu alikosa mechi na Barcelona huenda ikawa kwenye Champion League ndiyo mechi pekee hiyo tuliyocheza na kubeba ubingwa.
Dude kacheza mpira..

But thinks Salah's output is a waste kwenys hii team.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salute you man all the best man what's a chance to learn more about this game on a professional level and one of the most modern place...

Sky is the limit once you set ua goals kaka who knows you might be a lieutenant at Liverpool probably working at in Ian Graham office...

Well personally am not getting carried away with Henderson form or whatever, he has been shit for the past 4 seasons and yet he could not raise his standards till now...

Class is permanent and form is temporary but surely his form can't be temporary for all this below par seasons he has given us...

Even the pundits lacked proper words to nail his major contribution on the filed and many pointed to how good a leader he is at the dressing room bla bla...

Now his performance is raising eyebrows here and there for something he was supposed to be doing week in week out...

Was Hendo ever serious before I mean did he store this in his locker just to unleash now that the 19th is getting near and near...

Klopp change of set up is favoring him after Fabby injury.. He has bought so well to what the gaffer expect him to excute...

I might be the last person to get convinced by this form we are seeing now.. We have waited for this since time in memorial..

Salah haha he made fans panic jana otherwise we are good... Its one of those nights man...

Our Liverpool thread is getting bigger and busy, I salute those who holla to check us.. Things have changed zamani ilikua Manchester United lol nowadays imekua worse than where we were last 10yrears.. Wakati ni wetu.....

YNWA
Thank you a LOT big brother..

Henderson's form alikuwa nayo tangu 2011..

He's been winning us games tangu 2011, best MF in the world.


Leave my fantastic Captain alone..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Are you even using your brain brother?

Do you want to replace Salah's output na Traore?

You want to replace a dude who smashes Rush/Fowler/Owen/Torres/Suarez records for fun playing as a winger..

A dude who just scored 86 goals in the last 3 seasons, should be replaced by Adama Traore?

Dude, did you really play football?

Sent using Jamii Forums mobile app

Imefika mahala watu wanamchukia Mo bila sababu imefika mahala hata akitoa assist watu wanasema amekosea siyo kusudio lake, akipiga pasi ikazuiwa watu walalamika sana utadhani wengine hawakosei,

Against wolves kuna ile pasi alitoa mane akashindwa kuifata kisa kaumia watu wakalipuka 'ona hadi Mane kamaindi, kaamua hadi akae chini'

Traore over Salah ni kitu cha kusikitisha kabisa
 
Kwa nini hautaki tumkosoe salah

Kama tulimkosoa hendo why not salah

Kwa nini mkuu

Namu appreciate salah

Lakini wewe huoni tatizo au umeamua ukae kimya tu ubishe mkuu ama

Sent using Jamii Forums mobile app
So output ya Hendo at LFC ni sawa na Salah?

Who is more important kwenye mafaniko ya hii current LFC team since 17/18 kati ya Salah na Hendo?

What is more bearable? Being selfish or being shit at football???


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom