Sasa umeingia katika Sera 2
1) Ya ujengaji Timu
2) Transfer policy za FSG
Tukija kwenye ujengaji Timu, Klopp alitumia Awamu 3.
i. Alianza kujenga attacking kwa zaidi ya Misimu yake 2 ya mwanzo kwa kuwanunua Mane na Salah
ii. Akajenga Defence kwa kuwanunua VVD, Robertson na Kumpandiaha Senior Team TAA na GOMEZ
iii. Akakusudia kujenga Midfield kwa kuwanunua KEITA, OX na FABINHO lakini ujenzi huu haukuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa kutokana na OX na Keita kutokuwa Fit.
Kwahiyo siokwamba Klopp hakuliona hilo la usajili, Aliliona na kulifanyia kazi lakini haikuwa na mafanikio.
Tukiangalia Transfer policy ya FSG
- Hapa ni kwamba FSG wanatoa hela kulingana na Target za Kocha pamoja na Bajeti ya usajili wanayotenga.
Na kumbuka kuwa mwanzo ilikuwa ni vigumu kutoa hela Ndefu kutokana na sera mbovu za usajili kabla ya Klopp.