Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Salute you man all the best man what's a chance to learn more about this game on a professional level and one of the most modern place...

Sky is the limit once you set ua goals kaka who knows you might be a lieutenant at Liverpool probably working at in Ian Graham office...

Well personally am not getting carried away with Henderson form or whatever, he has been shit for the past 4 seasons and yet he could not raise his standards till now...

Class is permanent and form is temporary but surely his form can't be temporary for all this below par seasons he has given us...

Even the pundits lacked proper words to nail his major contribution on the filed and many pointed to how good a leader he is at the dressing room bla bla...

Now his performance is raising eyebrows here and there for something he was supposed to be doing week in week out...

Was Hendo ever serious before I mean did he store this in his locker just to unleash now that the 19th is getting near and near...

Klopp change of set up is favoring him after Fabby injury.. He has bought so well to what the gaffer expect him to excute...

I might be the last person to get convinced by this form we are seeing now.. We have waited for this since time in memorial..

Salah haha he made fans panic jana otherwise we are good... Its one of those nights man...

Our Liverpool thread is getting bigger and busy, I salute those who holla to check us.. Things have changed zamani ilikua Manchester United lol nowadays imekua worse than where we were last 10yrears.. Wakati ni wetu.....

YNWA
Kwa iyo for the past four years according to you hendo has been shit
Did you ever for once ask your self why Jk amemtumia constantly for the four years He's been the manager?
 
Issue ya Salah, kukosa magoli tuione Kama issue ya timu si yake peke yake, you can't be good all the time
Me kinachonishangaza, iv anapokua na mpira huwa hawaoni wenzake wanapokua kwenye position nzuri za kufunga!!!
Lakini pia kwa nini hajirekebishi?!! Au hizi lawama za mashabiki hazisikii. Lakini mbona Mane mara moja kamind uwanjani, hakumuona?!!
Kwa kiwango alichonacho Salah kama si ubinafsi tungekuwa tunashinda magoli mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But kinachosikitisha Zaidi sasahivi Washabiki wa Liverpool wamegeuka wa Real Madrid.
Washabiki wa Madrid hawana utamaduni wa Kuappreciate yale yanayofanywa na Wachezaji wao.

Gareth Bale ameifanyia Makubwa Real Madrid lakini cha ajabu muda huu wanamtreat kama kwamba hakuwahi kufanya chochote ndani ya Liverpool.

Sasahivi na Washabiki wa Liverpool tumekuwa hivyo! Yani Salah anaonekana kama kwamba haisaidii chochote Liverpool na Mtu asiye na thamani yoyote.

Mfano jana katika goli la ushindi build up imetokana na Salah kuweza kumiliki mpira mbele ya Mabeki 3 mpaka akatokea Henderson akatoa assist, but anaonekana he did nothing.
Kwa nini hautaki tumkosoe salah

Kama tulimkosoa hendo why not salah

Kwa nini mkuu

Namu appreciate salah

Lakini wewe huoni tatizo au umeamua ukae kimya tu ubishe mkuu ama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7541.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe Jamaa niliwahi kukwambia unashida, na leo nakwambia tena unashida brother.

Nadhani kwenye huu Uzi ni wewe pekee u ayeamini kuwa akiwepo mchezaji Flani unaweza kushinda au usishinde.

Hivi kuna Mchezaji Duniani anayefikia hata nusu ya ubora wa Messi?

- Je hakuna game ambazo Messi anacheza na Barcelona ikafungwa?
- Je hakuna mechi ambazo Messi hajacheza na Barcelona ikashinda?
Je umewahi kuchagua games hizo za Barcelona na ukasema Barcelona ikiwa haina Messi ndiyo inashinda?

Mbona tumecheza na Manure bila ya Salah tukatoka Sare lakini alipokuwepo Salah tumewafunga 2 - 0 hilo hujalitolea mfano?

Yani leo ni zaidi ya Mara ya 5 umekomalia hizo mechi 2 vs Barcelona na Everton utadhani ndiyo mechi pekee Liverpool walizocheza.

Hapa tulikuwa tukimponda Henderson lakini hatukuwahi kusema kuwa Asipocheza Henderson ndiyo tunashinda au Akicheza yeye tunafungwa! Acha hizo brother! Mlaumu tu mchezaji lakini hiyo kusema angecheza mechi Flani tusingeshinda hayo siyo maneno ya Kimpira kabisa.

EPL tumecheza michezo 23 na mchezo mmoja ambao hakucheza ndiyo tumetoa sare je kuna aliyelizungumzia hilo? Coz ni useless stat.

Badilika Brother sasahivi kila Mtu yupo positive na Timu.

Sasa Wewe endelea kuamini kuwa Akicheza Salah hatushindi kwasababu alikosa mechi na Barcelona huenda ikawa kwenye Champion League ndiyo mechi pekee hiyo tuliyocheza na kubeba ubingwa.

Sidhan kama umesoma na kuelewa nilichoandika


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe Jamaa niliwahi kukwambia unashida, na leo nakwambia tena unashida brother.

Nadhani kwenye huu Uzi ni wewe pekee u ayeamini kuwa akiwepo mchezaji Flani unaweza kushinda au usishinde.

Hivi kuna Mchezaji Duniani anayefikia hata nusu ya ubora wa Messi?

- Je hakuna game ambazo Messi anacheza na Barcelona ikafungwa?
- Je hakuna mechi ambazo Messi hajacheza na Barcelona ikashinda?
Je umewahi kuchagua games hizo za Barcelona na ukasema Barcelona ikiwa haina Messi ndiyo inashinda?

Mbona tumecheza na Manure bila ya Salah tukatoka Sare lakini alipokuwepo Salah tumewafunga 2 - 0 hilo hujalitolea mfano?

Yani leo ni zaidi ya Mara ya 5 umekomalia hizo mechi 2 vs Barcelona na Everton utadhani ndiyo mechi pekee Liverpool walizocheza.

Hapa tulikuwa tukimponda Henderson lakini hatukuwahi kusema kuwa Asipocheza Henderson ndiyo tunashinda au Akicheza yeye tunafungwa! Acha hizo brother! Mlaumu tu mchezaji lakini hiyo kusema angecheza mechi Flani tusingeshinda hayo siyo maneno ya Kimpira kabisa.

EPL tumecheza michezo 23 na mchezo mmoja ambao hakucheza ndiyo tumetoa sare je kuna aliyelizungumzia hilo? Coz ni useless stat.

Badilika Brother sasahivi kila Mtu yupo positive na Timu.

Sasa Wewe endelea kuamini kuwa Akicheza Salah hatushindi kwasababu alikosa mechi na Barcelona huenda ikawa kwenye Champion League ndiyo mechi pekee hiyo tuliyocheza na kubeba ubingwa.

Ko. Kichwan mwako umekaa ukiamin Salah hana makosa
Sikuzote nasema we ni mfano mzr wa mtu asiesoma mchezo bali unafatilia stats
Nilikusoma vzr sana tangu unamcritisize Hendo kisa hana stats unazotaka, sikuhiz stats zimeanza kujionesha unasema kabadirika, anyways na huwez mcritisize Salah maana ata aboronge kiaje stats za apa na pale atapata japo atazingua sana(foward in top team lazima apate)
Anyways mi na wewe hatuwez kubishana maana ni kama kutwanga maji kwenye mtungi, mimi na ww sikira zetu ziko mbali sana na tukibishana hatutafikia muhafaka,

Sisemi fikira zako ni mbaya, hamna, bali tukibishana ni kama vile Muislam na Mkristo wakibishana




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sometimes tunashangaza kwa marumbano yasiyo na hoja zenye shida, timu inashinda kila siku, na timu inawachezaji wengi na karibia wote ni wa muhimu, hakuna mtu ambaye hataki kufunga magoli, hata Becker naye ataka kufunga sema kwa sababu yeye huwa anakaa mbali tu na goli la wapinzani, tusikariri kwamba ushindi wa muhimu lazima kila mechi afunge Salah, Mane, au Firmino, mm kwangu cha muhimu ni matokeo ya ushindi na kupata points 3, afunge mchezaji yo yote cha msingi matokeo yapatikane. Tuachane na mambo yasiyo na tija sana katika umoja wetu. Kuna kauli wakati Fergusson akiwa bado kocha aliwahi kuwajibu watu waliomuuliza kwann timu haichezi mpira mzuri na kupiga pasi nyingi za uhakika, aliwaambia tu ya kwamba inakuwa ni ujinga na upuuzi mkubwa sana kupiga mpira mwingi, pasi nyingi halafu hamfungi mnaishia kufungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Traore mnayemsifia ana uwezo gani wa kutafuta magoli ya kupatia timu matokeo ya muhimu pale inahitajika zaidi ya kutumia maguvu na kukimbizana uwanjani? Hivi watu wanasahau kwamba hata goli la pili juzi 60% ni kazi kubwa sana aliyoifanya Salah kabla ya kutoa pasi kwa Hendo then kwa Firmino ndo tukafunga goli la pili, so kama ni mgawanyo wa asilimia goli la pili dhidi ya Wolves, Salah 60%, Hendo 5% na Firmino 35% Jumla 100% Nyavu zikatikisika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwangu cha muhimu ni matokeo kwa sasa, hayo mengine sijui kafunga fulani na fulani hajafunga siyo sehemu yangu kabisa, mwaka jana tulikuwa twafunga magoli mengi tu na huyo Salah alifunga ya kutosha tu, lakini tulipokwamia ni Mungu mwenyewe anajua, akina Aguero hawakufunga sana lakini wakanyanyua makwapa, sasa hivi akina Salah na mane hawafungi sana, Akina Aguero wanafunga kila mechi lakini timu yao inazidiwa points 16 na mchezo mmoja mkononi ambayo sasa ni sawa na points 19. Mimi nataka magoli ya ushindi hata kama ni moja na haijalishi kafunga nani. Hata akifunga Becker la ushindi kwangu mm liverpool imeshinda na imechukua points 3 muhimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwangu cha muhimu ni matokeo kwa sasa, hayo mengine sijui kafunga fulani na fulani hajafunga siyo sehemu yangu kabisa, mwaka jana tulikuwa twafunga magoli mengi tu na huyo Salah alifunga ya kutosha tu, lakini tulipokwamia ni Mungu mwenyewe anajua, akina Aguero hawakufunga sana lakini wakanyanyua makwapa, sasa hivi akina Salah na mane hawafungi sana, Akina Aguero wanafunga kila mechi lakini timu yao inazidiwa points 16 na mchezo mmoja mkononi ambayo sasa ni sawa na points 19. Mimi nataka magoli ya ushindi hata kama ni moja na haijalishi kafunga nani. Hata akifunga Becker la ushindi kwangu mm liverpool imeshinda na imechukua points 3 muhimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika vizuri na sahihi. Lengo points 3. Mimi kafunga nani wala sina habari hio. Salah ni mchezaji mzuri na muhimu na kutokuwepo kwake uwanjani si habari njema kwangu. ila mimi binafsi ananiweka roho juu. Km umeangalia game ya juzi na wolves, ivi kutompa mpira Minamino ilikuwa sawa? Akalazimisha kufunga sehemu ambayo kiuhalisia si rahisi kufunga.
Shida ya Salah ni selfish tu hakuna kingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa iyo for the past four years according to you hendo has been shit
Did you ever for once ask your self why Jk amemtumia constantly for the four years He's been the manager?

Coz Klopp hakuwa na Mbadala wake, hili pia linahitaji Debate? Haina haja ya kutaja majina lakini wewe mwenyewe kaa ukumbuke Midfielders wote waliokuepo Liverpool miaka 4 iliyopita then utapata Conclusion.

Hata Karius tulimtumia Msimu mzima kwa kukosa mbadala wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom