Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndo maana nasema wachambuzi wetu wabongo hawajui kuchambua
Timu kama Liverpool inatengeneza nafasi nyingi sana kias kwamba yoyote akiwa mbele atafunga tu
Huyu Salah analostisha chance kibao
Ni kama mtu anakosa chance 20 moja akipata kila mtu anampongeza kisa katengeneza stats, its all about playing with people’s minds


Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeshawai kumsikia popote kwenye media klopp ana criticise mo Salah??
Na kama huwaamini Traditional pundits wa nchi yako hao kina carragher wa sky sports ulishaona wanatoa such kind of critics?
 
Umeshawai kumsikia popote kwenye media klopp ana criticise mo Salah??
Na kama huwaamini Traditional pundits wa nchi yako hao kina carragher wa sky sports ulishaona wanatoa such kind of critics?

Kocha yoyote mwenye akili hawezi kucritisize mtu
Huwez ona Klop anacritisize mtu yoyote


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
IMG_7535.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni kama UEFA ile mechi ya kwanza, ye ndo alikuwa tatizo pale
Analazimisha kutengeneza clip kwa Jordi Alba badala ya kufyatua tushinde
Mechi ya pili angekuwepo tusingepita walah
Mechi na Everton hakucheza tukampiga Blues za kutosha tu


Sent from my iPhone using JamiiForums

Wewe Jamaa niliwahi kukwambia unashida, na leo nakwambia tena unashida brother.

Nadhani kwenye huu Uzi ni wewe pekee u ayeamini kuwa akiwepo mchezaji Flani unaweza kushinda au usishinde.

Hivi kuna Mchezaji Duniani anayefikia hata nusu ya ubora wa Messi?

- Je hakuna game ambazo Messi anacheza na Barcelona ikafungwa?
- Je hakuna mechi ambazo Messi hajacheza na Barcelona ikashinda?
Je umewahi kuchagua games hizo za Barcelona na ukasema Barcelona ikiwa haina Messi ndiyo inashinda?

Mbona tumecheza na Manure bila ya Salah tukatoka Sare lakini alipokuwepo Salah tumewafunga 2 - 0 hilo hujalitolea mfano?

Yani leo ni zaidi ya Mara ya 5 umekomalia hizo mechi 2 vs Barcelona na Everton utadhani ndiyo mechi pekee Liverpool walizocheza.

Hapa tulikuwa tukimponda Henderson lakini hatukuwahi kusema kuwa Asipocheza Henderson ndiyo tunashinda au Akicheza yeye tunafungwa! Acha hizo brother! Mlaumu tu mchezaji lakini hiyo kusema angecheza mechi Flani tusingeshinda hayo siyo maneno ya Kimpira kabisa.

EPL tumecheza michezo 23 na mchezo mmoja ambao hakucheza ndiyo tumetoa sare je kuna aliyelizungumzia hilo? Coz ni useless stat.

Badilika Brother sasahivi kila Mtu yupo positive na Timu.

Sasa Wewe endelea kuamini kuwa Akicheza Salah hatushindi kwasababu alikosa mechi na Barcelona huenda ikawa kwenye Champion League ndiyo mechi pekee hiyo tuliyocheza na kubeba ubingwa.
 
man city next 12 games

1.man city vs fulham- fa
2.man city vs man utd - carabao
3.tottenham vs man city
4.man city vs westham
5.leicester vs man city
6.real madrid vs man city - uefa
7.man city vs arsenal
8.man utd vs man city
9.man city vs burnley
10.man city vs real madrid - uefa
11.chelsea vs man city
12.man city vs liverpool.



liverpool next 12 games

1.shrewsbury vs liverpool - fa
2.westham vs liverpool
3.liverpool vs southampton
4.norwich vs liverpool
5.atletico madrid vs liverpool - uefa
6.liverpool vs westham
7.watford vs liverpool
8.liverpool vs bournemouth
9.liverpool vs atletico madrid - uefa
10.everton vs liverpool
11.liverpool vs crystal palace.
12.man city vs liverpool

Namuonea huruma Man City
 
Kocha yoyote mwenye akili hawezi kucritisize mtu
Huwez ona Klop anacritisize mtu yoyote


Sent from my iPhone using JamiiForums
Na Gallagher nae umeshamsikia ?
Tajiri unazingua inabidi kukubali tuu hakuna sababu ya Mo kuondoka hivi punde ila amini hawezi kuwa na klabu daima na hapo ndo furaha yenu itakamilika
 
man city next 12 games

1.man city vs fulham- fa
2.man city vs man utd - carabao
3.tottenham vs man city
4.man city vs westham
5.leicester vs man city
6.real madrid vs man city - uefa
7.man city vs arsenal
8.man utd vs man city
9.man city vs burnley
10.man city vs real madrid - uefa
11.chelsea vs man city
12.man city vs liverpool.



liverpool next 12 games

1.shrewsbury vs liverpool - fa
2.westham vs liverpool
3.liverpool vs southampton
4.norwich vs liverpool
5.atletico madrid vs liverpool - uefa
6.liverpool vs westham
7.watford vs liverpool
8.liverpool vs bournemouth
9.liverpool vs atletico madrid - uefa
10.everton vs liverpool
11.liverpool vs crystal palace.
12.man city vs liverpool
Kwisha habari yao Manchester city kwishnei.
 
But kinachosikitisha Zaidi sasahivi Washabiki wa Liverpool wamegeuka wa Real Madrid.
Washabiki wa Madrid hawana utamaduni wa Kuappreciate yale yanayofanywa na Wachezaji wao.

Gareth Bale ameifanyia Makubwa Real Madrid lakini cha ajabu muda huu wanamtreat kama kwamba hakuwahi kufanya chochote ndani ya Liverpool.

Sasahivi na Washabiki wa Liverpool tumekuwa hivyo! Yani Salah anaonekana kama kwamba haisaidii chochote Liverpool na Mtu asiye na thamani yoyote.

Mfano jana katika goli la ushindi build up imetokana na Salah kuweza kumiliki mpira mbele ya Mabeki 3 mpaka akatokea Henderson akatoa assist, but anaonekana he did nothing.
Mkuu, tatizo la Salah ni ubinafsi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man, this Salah agenda is ruining this good thread man..

Happy to see some new faces though, we've come a long way as a team..

Nimeona signature ya Pazi pia, missed you legend..


Tumehit 3m views?? Man thats our trophy, lol we actually run this platform nowdays, LFC thread is the most active sport thread on this site, used to be so jealous of Man utd back then man, walikuwa everywhere kwenye hii platform, but siku hizi we run them on and off the pitch, we're everywhere.


Man, we'll be back in may, just to post some pics of Salah lifting the trophy & will start my firm propaganda for Jordan Brian Henderson kushinda PFA player of the year, just to piss off Don, Zumbe, Captain and Ngwaba.

Oh! Still got 2 more games za kwenda Anfield this season, one being a CL game..

And, just been accepted for a short 3 months Football/Soccer Tactical Anaylist Course. So i'm not just a free scout, Top reds next season get ready ku-argue na certified football anaylist & a match-goer. jokes aside, y'all pray for me, my dream is one day to be a full-time (paid) LFC scout.


Young dudes continue to keep your dreams alive, this young generation is full of winners, and guess what? You're one of them, so keep on pushing, there should be no limits.


God bless y'all.


Man, i love every one of you on this thread. Take care and smile always.





Sent using Jamii Forums mobile app
Salute you man all the best man what's a chance to learn more about this game on a professional level and one of the most modern place...

Sky is the limit once you set ua goals kaka who knows you might be a lieutenant at Liverpool probably working at in Ian Graham office...

Well personally am not getting carried away with Henderson form or whatever, he has been shit for the past 4 seasons and yet he could not raise his standards till now...

Class is permanent and form is temporary but surely his form can't be temporary for all this below par seasons he has given us...

Even the pundits lacked proper words to nail his major contribution on the filed and many pointed to how good a leader he is at the dressing room bla bla...

Now his performance is raising eyebrows here and there for something he was supposed to be doing week in week out...

Was Hendo ever serious before I mean did he store this in his locker just to unleash now that the 19th is getting near and near...

Klopp change of set up is favoring him after Fabby injury.. He has bought so well to what the gaffer expect him to excute...

I might be the last person to get convinced by this form we are seeing now.. We have waited for this since time in memorial..

Salah haha he made fans panic jana otherwise we are good... Its one of those nights man...

Our Liverpool thread is getting bigger and busy, I salute those who holla to check us.. Things have changed zamani ilikua Manchester United lol nowadays imekua worse than where we were last 10yrears.. Wakati ni wetu.....

YNWA
 
Talk the talk buddah
Yah man..wondering some "wise man" here wanna give others their eye of football...believing that our eyes can not see proper..when these our bad eyes noticed in the past that Hendo or Lallana or Karius were not doing well,the "wiseman" believed our eyes of football..the problem comes when Salah is not seen good by our eyes..the wise eyes will teach us how to see Salah...

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom