Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

But kinachosikitisha Zaidi sasahivi Washabiki wa Liverpool wamegeuka wa Real Madrid.
Washabiki wa Madrid hawana utamaduni wa Kuappreciate yale yanayofanywa na Wachezaji wao.

Gareth Bale ameifanyia Makubwa Real Madrid lakini cha ajabu muda huu wanamtreat kama kwamba hakuwahi kufanya chochote ndani ya Liverpool.

Sasahivi na Washabiki wa Liverpool tumekuwa hivyo! Yani Salah anaonekana kama kwamba haisaidii chochote Liverpool na Mtu asiye na thamani yoyote.

Mfano jana katika goli la ushindi build up imetokana na Salah kuweza kumiliki mpira mbele ya Mabeki 3 mpaka akatokea Henderson akatoa assist, but anaonekana he did nothing.
 
Mkuu Paragraph ya pili umekuwa kama Musiba na wananchi wa Libya
But kinachosikitisha Zaidi sasahivi Washabiki wa Liverpool wamegeuka wa Real Madrid.
Washabiki wa Madrid hawana utamaduni wa Kuappreciate yale yanayofanywa na Wachezaji wao.

Gareth Bale ameifanyia Makubwa Real Madrid lakini cha ajabu muda huu wanamtreat kama kwamba hakuwahi kufanya chochote ndani ya Liverpool.

Sasahivi na Washabiki wa Liverpool tumekuwa hivyo! Yani Salah anaonekana kama kwamba haisaidii chochote Liverpool na Mtu asiye na thamani yoyote.

Mfano jana katika goli la ushindi build up imetokana na Salah kuweza kumiliki mpira mbele ya Mabeki 3 mpaka akatokea Henderson akatoa assist, but anaonekana he did nothing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote nimekuwa nikiamini kucheza soka professional ni zaidi ya Kipaji, na chenga... Hendo anazidi kuprove hiki, kwa namna Hendo alivyo hakuna timu duniani atakaa nje kwenye hicho kikosi
 
Siku hizi, kila uki-log in kwenye hii thread kuangalia Post-match reactions unakutana na Salah agendas tu, hakuna kingine, its like watu wanatafuta kitu cha kulalamikia tu because hakuna scapegoat now as the team (even Henderson) is doing very good.


Cant y'all just appreciate these players & this team???

Salah provided a match winning assist against Spurs, won us the game against United, but 1 bad game today and people are out with their stupid agendas, and its even painful because most people wanao-run hii agenda ni good & young reds and they're making this thread kuwa unbearable.


Sort yourselves out.



Sent using Jamii Forums mobile app

Thats what you see as he’s already good in yur mind
Myb asingekuwepo gem ingisha mapema
Nowdays anafanya maamuz ya kijinge sema it seams hakuna sub yake ya maana, na kama huoni anayofanya si mazuri uku kila mtu anaona including pundits na wengine mashabiki wakubwa wa liver, then we ndo uko wrong,
He’s driven by his place at liverpool and he’s forcing to be the main man, thats the problem, na tuliocheza mpira tunajua kwenye mpira ukiforce sana perfection ndo mpira unakukataa, ndo maana nilkuwa namkubali sana Van Perse


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Man, this Salah agenda is ruining this good thread man..

Happy to see some new faces though, we've come a long way as a team..

Nimeona signature ya Pazi pia, missed you legend..


Tumehit 3m views?? Man thats our trophy, lol we actually run this platform nowdays, LFC thread is the most active sport thread on this site, used to be so jealous of Man utd back then man, walikuwa everywhere kwenye hii platform, but siku hizi we run them on and off the pitch, we're everywhere.


Man, we'll be back in may, just to post some pics of Salah lifting the trophy & will start my firm propaganda for Jordan Brian Henderson kushinda PFA player of the year, just to piss off Don, Zumbe, Captain and Ngwaba.

Oh! Still got 2 more games za kwenda Anfield this season, one being a CL game..

And, just been accepted for a short 3 months Football/Soccer Tactical Anaylist Course. So i'm not just a free scout, Top reds next season get ready ku-argue na certified football anaylist & a match-goer. jokes aside, y'all pray for me, my dream is one day to be a full-time (paid) LFC scout.


Young dudes continue to keep your dreams alive, this young generation is full of winners, and guess what? You're one of them, so keep on pushing, there should be no limits.


God bless y'all.


Man, i love every one of you on this thread. Take care and smile always.





Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha ni kweli labda Mo hakuwa na best game lakini amecheza vizuri na ni sehemu kubwa ya team sana leo hii Liverpool tuko hapa toka amejiunga na sisi hata hao tunaosema kina Lallana, Oxy, Shaqiri na Origi wamechangia sana leo kuwa katika nafasi hii na uhakika Klop hawezi kuvumulia ujinga wa mchezaji yoyote ni kwamba wote anaowapanga anaamini ndio best kwa wakati huu. Siku ukiona Salah kaanza nje utaona umuhimu wake mimi naamini kabisa wote muhimu hata Gomez kuna kipindi tulianza kumtilia mashaka leo kasimama kina Matip na hata Lovren sehemu kubwa ya mafanikio yetu. jamani wolves ni team nzuri sana lakini tumewapiga kote sio jambo dogo.
 
Wajina hata wewe? Hendo angekuwa anacheza hivi mwanzo nani angemkosoa? Yeye ndo anaumbuka asaiv maana imebidi abadilike kutokana na anavyokosolewa na mashabiki.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mostly huwa anacheza vizr
Nilikuwa namfatilia sana
Sema recently kawa envolved na goals ndo maana wengi wanamuona but we kama ni mtu wa mpira unaangalia majukum kama anayatenda vzr
Enz za zidane au viera kufunga na kuassist haikuonesha umahili wa mchezaji ndo maana akina ronaldino au Zidane ni wa kawaida kwenye stats though ye ndo alikuwa anaibeba tim
Ndo maana wengine humu wanamsifia Salah japo anazingua
Wachambuzi wa sikuiz kosa 11 funga moja watakuelewa, ila ukisaidia timu sana bila kufunga hawakuelewi

Pia jana Mane katoa pande zuri sana kwa salah salah hajafunga mane hapewi sifa unlike kama salah angefunga

Inshort wachambuzi wa kisasa magumashi mengi na wamebase kwenye stats than anything


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nipo upande wako
Mostly huwa anacheza vizr
Nilikuwa namfatilia sana
Sema recently kawa envolved na goals ndo maana wengi wanamuona but we kama ni mtu wa mpira unaangalia majukum kama anayatenda vzr
Enz za zidane au viera kufunga na kuassist haikuonesha umahili wa mchezaji ndo maana akina ronaldino au Zidane ni wa kawaida kwenye stats though ye ndo alikuwa anaibeba tim
Ndo maana wengine humu wanamsifia Salah japo anazingua
Wachambuzi wa sikuiz kosa 11 funga moja watakuelewa, ila ukisaidia timu sana bila kufunga hawakuelewi

Pia jana Mane katoa pande zuri sana kwa salah salah hajafunga mane hapewi sifa unlike kama salah angefunga

Inshort wachambuzi wa kisasa magumashi mengi na wamebase kwenye stats than anything


Sent from my iPhone using JamiiForums
Haiwezekani mtu atake sifa kwa huribu matokeo ya team asilaumiwe kisa alifanya mazuri? Ubinafsi wake akaufanyie bechi huko mbona tulikua tunamponda Hendo kwa kurudisha mipira nyuma? Huo ustaa wake wakubahatisha asitake kuufosi akatuharibia tim.

Tumecheza mechi kadhaa bila Salah tukawa vizuri sana tu kwa maana nafasi yake inazibika.

Tulikua na hali ngumu sana jana baada ya kutoka Mane hilo ndo pengo sasa sio Salah

Salah anazingua sana tu hata mechi Man u kazingua sana wala simpi sifa kwa lile goli akiwa kaharibu nafasi kibao za magoli.


TEAM KWANZA MCHEZAJI BAADAE

'mtindilo'
 
IMG_7527.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom