Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
But kinachosikitisha Zaidi sasahivi Washabiki wa Liverpool wamegeuka wa Real Madrid.
Washabiki wa Madrid hawana utamaduni wa Kuappreciate yale yanayofanywa na Wachezaji wao.
Gareth Bale ameifanyia Makubwa Real Madrid lakini cha ajabu muda huu wanamtreat kama kwamba hakuwahi kufanya chochote ndani ya Liverpool.
Sasahivi na Washabiki wa Liverpool tumekuwa hivyo! Yani Salah anaonekana kama kwamba haisaidii chochote Liverpool na Mtu asiye na thamani yoyote.
Mfano jana katika goli la ushindi build up imetokana na Salah kuweza kumiliki mpira mbele ya Mabeki 3 mpaka akatokea Henderson akatoa assist, but anaonekana he did nothing.
Washabiki wa Madrid hawana utamaduni wa Kuappreciate yale yanayofanywa na Wachezaji wao.
Gareth Bale ameifanyia Makubwa Real Madrid lakini cha ajabu muda huu wanamtreat kama kwamba hakuwahi kufanya chochote ndani ya Liverpool.
Sasahivi na Washabiki wa Liverpool tumekuwa hivyo! Yani Salah anaonekana kama kwamba haisaidii chochote Liverpool na Mtu asiye na thamani yoyote.
Mfano jana katika goli la ushindi build up imetokana na Salah kuweza kumiliki mpira mbele ya Mabeki 3 mpaka akatokea Henderson akatoa assist, but anaonekana he did nothing.
