Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_7521.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
When Fabinho got injured, Klopp decided to change to 3-4-3, to accomodate and help Henderson fill the void kwenye 6 role & Gini kusaidia ku-cover spaces kwenye MF, pale Hendo anaporudi deep kutengeneza shape ya 3-man CB tukiwa tunashambuliwa/hatuna mipira na kuacha 2 FBs na I CM + Gini wakidhibiti half-spaces na kutengeneza 4-man comapact defensive shape whilist wakiruhusu ball screening kutoka kwa CBs + Hendo (hence, mipira mirefu mingi kutokea nyuma)..

Formation imetusaidia sana, especially katika possession, but kuanzia game ya Spurs naona opponents wameanza ku-mark our weakness, Mou pressed our MFs a lot, i can say ndiyo game ya kwanza in a long time niliyoona Gini akipoteza mipira hovyo kwenye dangerous zones, and it was Hendo's bad game after nearly 1-2 months, the MF was streched a lot, then kwenye game ya Utd, in the 2nd half, we turned Fred into peak Scholes, he dominated us for more than 20 minutes, we allowed Utd to press us and if Rashford was playing hali ingekuwa mbaya zaidi, but glad we came out on top..

Now, today we won the game, but Nuno outclassed us tactically, especially kwenye 2nd half, we made Traore look better kuliko uwezo wake, they killed our counter-press, and we failed to control the game at all.

We need to ditch this 3-4-3, or unbeaten run inaweza kuisha before hata hatujakutana na Man City.

We need Faby more than ever, but today alikuwa rusty sana (understandable kwasababu ya injuries), give him minutes against The shrews this sunday and see if atakuwa ready against WH away..

Now, Mane atakuwa hayupo for 2-3 matches or even more, so pace ya upfront itapungua na Robertson atakosa protection kabisa, so its crucial kuwa na natural DM at 6 then put Hendo on the right and Gini on the left, kwaajili ya kusaidia FBs as Salah doest track back enough, na Mane hayupo, so itakuwa ngumu hata kwa Trent/Robbo ku-interchange movements from central areas..

But, hii 3-4-3, teams zishaijulia, Wolves got us bad today, bila ujinga wa Diogo Jota unbeaten run ingeisha leo, & on top of that we shouldnt play this formation kwenye CL kabisa, tutaaibika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shaqiri will leave in the summer..


Seems, Lallana/Dejan & Clyne will leave too..


Get Grujic back, then sign Werner, a young CB and one of Aouar/Havertz and we're sorted for the future..

Neco Williams should be introduced as Trent's backup..

And, buy a young LB or stick Millie as backup to Robertson..

Can see Mane/Salah wakiondoka kama offer kubwa ikija...but ngoja tuone itakuwaje Summer..




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naangalia review ya match ani bafo mambo ya salah yananiumiza moyo jamani dah

Kwa nini

Sent using Jamii Forums mobile app
So Salah is not allowed to take players on?


Sijawah kuona Salah akifanya blunder kama ya Diogo Jota dk ya 80, he could've played Traore on, but he went for the goal..

Salah angefanya hivyo sijui igekuwaje kwenye forum Aisee???



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi, kila uki-log in kwenye hii thread kuangalia Post-match reactions unakutana na Salah agendas tu, hakuna kingine, its like watu wanatafuta kitu cha kulalamikia tu because hakuna scapegoat now as the team (even Henderson) is doing very good.


Cant y'all just appreciate these players & this team???

Salah provided a match winning assist against Spurs, won us the game against United, but 1 bad game today and people are out with their stupid agendas, and its even painful because most people wanao-run hii agenda ni good & young reds and they're making this thread kuwa unbearable.


Sort yourselves out.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man, missed Fabinho against Brighton, so tarehe 1/02, i'll be visiting Anfield again for our game against Southampton..


Man, napost hii mambo humu, ili siku team ikianza kuzingua tena, niwe napangua hoja za Top reds vizuri especially ile ya "unalalamika kama unachangia team vile"..

Well, i'm paying my hard-earned money to watch the reds at Anfield now, so of-course NACHANGIA mishahara ya wachezaji na Manager, Loooooooool.



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom