When Fabinho got injured, Klopp decided to change to 3-4-3, to accomodate and help Henderson fill the void kwenye 6 role & Gini kusaidia ku-cover spaces kwenye MF, pale Hendo anaporudi deep kutengeneza shape ya 3-man CB tukiwa tunashambuliwa/hatuna mipira na kuacha 2 FBs na I CM + Gini wakidhibiti half-spaces na kutengeneza 4-man comapact defensive shape whilist wakiruhusu ball screening kutoka kwa CBs + Hendo (hence, mipira mirefu mingi kutokea nyuma)..
Formation imetusaidia sana, especially katika possession, but kuanzia game ya Spurs naona opponents wameanza ku-mark our weakness, Mou pressed our MFs a lot, i can say ndiyo game ya kwanza in a long time niliyoona Gini akipoteza mipira hovyo kwenye dangerous zones, and it was Hendo's bad game after nearly 1-2 months, the MF was streched a lot, then kwenye game ya Utd, in the 2nd half, we turned Fred into peak Scholes, he dominated us for more than 20 minutes, we allowed Utd to press us and if Rashford was playing hali ingekuwa mbaya zaidi, but glad we came out on top..
Now, today we won the game, but Nuno outclassed us tactically, especially kwenye 2nd half, we made Traore look better kuliko uwezo wake, they killed our counter-press, and we failed to control the game at all.
We need to ditch this 3-4-3, or unbeaten run inaweza kuisha before hata hatujakutana na Man City.
We need Faby more than ever, but today alikuwa rusty sana (understandable kwasababu ya injuries), give him minutes against The shrews this sunday and see if atakuwa ready against WH away..
Now, Mane atakuwa hayupo for 2-3 matches or even more, so pace ya upfront itapungua na Robertson atakosa protection kabisa, so its crucial kuwa na natural DM at 6 then put Hendo on the right and Gini on the left, kwaajili ya kusaidia FBs as Salah doest track back enough, na Mane hayupo, so itakuwa ngumu hata kwa Trent/Robbo ku-interchange movements from central areas..
But, hii 3-4-3, teams zishaijulia, Wolves got us bad today, bila ujinga wa Diogo Jota unbeaten run ingeisha leo, & on top of that we shouldnt play this formation kwenye CL kabisa, tutaaibika.
Sent using
Jamii Forums mobile app