Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii Timo Werner bwana ni mtihani kwanza kwa sasa anauzwa £51m na kama ujuavyo ujeremani hua wachezaji wao wazuri wanapenda wabakie pale pale hivyo chagua lake ndani ya German ni Bavaria na nje akiamua kutoka nje ni Liverpool endapo tutafika hio bei...

Huyu sio wa kukaa benchi hivyo Klopp anakwenda nae taratibu sana...

Kwa mafanikio tulionayo kwa sasa sioni akichagua kwingine nje ya ujeremani labda tushindwe bei...

Chelsea wanahaha baada ya kumkosa Dembele...

Welcome home Timo when you are ready..

YNWA

Linapokuja suala la Bavarian Wajerumani huwa hawaambiliki
 
Ila sijui coutinho akiiona Liverpool anajisikiaje....Funzo tosha kwa wachezaji waliokariri Madrid na Barcelona ndo kuna mafanikio.

Cotinho baada ya kuondoka Liverpool kauli yake ya kwanza alisema 'Barcelona ndiyo his dream Team'.

Lakini alishindwa kuelewa si kila anachokipenda nayeye kinampinda.

Alisahau kuwa Barcelona ni his dream Team, lakini kwa upande wa Barcelona Coutino not their dream player that's why yupo on loan wanatafuta Mshitiri wa kumuuzia.
 
Linapokuja suala la Bavarian Wajerumani huwa hawaambiliki
Kwa sasa abakie alipo japo hawa ma fowadi wetu wanakosa magoli mengi....

Ishu kuu ni yajayo mwaka 2021 main threat wetu Salah na Mane wakienda AFCON...

Hapo ndio Klopp na jopo lake waanza kazi mapema kujua tuta survive vipi...

Takumi ni mwanzo mzuri..

YNWA
 
Loooh
20200122_225359.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
*EPL WHATSAPP GROUP*

Maguire: *Added Samatta*

*Zouma* ; karibu Mjuba
Samatta: Anko Zouma
Zouma: Anko tena??
Jones: Typing
*Samatta* : Mzee wa kuchoma unatype nini??
Jones: This message was deleted
*David Luiz* : Tz pande zipi Mnyabi
Samatta: Mbagala mzee
Aubameyang; Ozaaa Samagoaaaal, karibu mzee,
Samatta:
*Tammy A:* Una namba ya NIDA??
Samatta: Tammy foleni kubwa
Wanyama: Wa homeee
Samatta: Niambie Mzee wa totoz za Buza
Wanyama: Left
Samatta:
Bruno: Joined using this Group Invite Link
*Pogba* ; Samatta anacheza yopeee,
Samatta: Labile Mzee wa mipasi mirefuuu.
Virgil: Left
Lovren: Left
Becker: Left
Klopp; Left
*Samatta* : Typing
Maguire: Added Virgil
Virgil: Maguire, acha sifa
Maguire:
Torreira:
*Rashford* : Tz kuna Madam, anaitwa Madam Pundile yupo goms unamfahamu??
Samatta: Goms kubwa mzee
Rashford;
Neves:
Mountinho:
Ndidi; Oi Nabii Tito yupo??
Samatta; Yeah, punguzeni maswali yaajabu wazee,
Jorginho:
Maguire: Removed Sterling
Rodrigo: Admin vipi mbona hatuambizani??
Rojo: Left
Young; Goodbye Members, on the way to Intermilan
SAMATTA: Msalimie Lukaku
*Young* ; Left
Zouma; oi naingia tizi nina Newcastle baadae
De Gea; anavyoaga utadhani bonge la beki,
*Arrizabalaga* : De save acha unafiki
Rui Patricio; unafiki tena??
Raul Jemenez: kueni basi
Wesley: Samatta
Samatta: Ugua pole bro
Maddison; Karibu Genkman
Samatta; Madders
Fred: Oi Mazeee, kesho Liverkuku naogopa kinoma
Longstaff; kisa??
Fred; Dimba lile niko mwenyewe
Matic;
Martial; Liverkuku mbona wanaleft hadi baba yao
Milner; jiheshimu Martial
Smalling; na sisi tulio kwa mkopo tunaruhusiwa kuchangia??
Dan Ceballos:
Ndombele; Niggers, Samatta, ndo nani aisee
Samatta: Baba lao
*KDB* : Added Solskjaer
Solskjaer; Oi wamasai bado wanafuga.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nilisema siingii humu mpaka siku ya Ubingwa ila nimeona kama Binadaam, mwenzako akiumwa vizuri ukamtembelee kumuona Mgonjwa, hali yake sio nzuri Mr Manchester United nimeenda room naona waana type makorokocho tu hawaeleweki hahaha sijui tuwasaidiaje kule? shauri zao Beki ghali atawasaidia.
 
Huu ujinga hapa si mahali pake!
*EPL WHATSAPP GROUP*

Maguire: *Added Samatta*

*Zouma* ; karibu Mjuba
Samatta: Anko Zouma
Zouma: Anko tena??
Jones: Typing
*Samatta* : Mzee wa kuchoma unatype nini??
Jones: This message was deleted
*David Luiz* : Tz pande zipi Mnyabi
Samatta: Mbagala mzee
Aubameyang; Ozaaa Samagoaaaal, karibu mzee,
Samatta:
*Tammy A:* Una namba ya NIDA??
Samatta: Tammy foleni kubwa
Wanyama: Wa homeee
Samatta: Niambie Mzee wa totoz za Buza
Wanyama: Left
Samatta:
Bruno: Joined using this Group Invite Link
*Pogba* ; Samatta anacheza yopeee,
Samatta: Labile Mzee wa mipasi mirefuuu.
Virgil: Left
Lovren: Left
Becker: Left
Klopp; Left
*Samatta* : Typing
Maguire: Added Virgil
Virgil: Maguire, acha sifa
Maguire:
Torreira:
*Rashford* : Tz kuna Madam, anaitwa Madam Pundile yupo goms unamfahamu??
Samatta: Goms kubwa mzee
Rashford;
Neves:
Mountinho:
Ndidi; Oi Nabii Tito yupo??
Samatta; Yeah, punguzeni maswali yaajabu wazee,
Jorginho:
Maguire: Removed Sterling
Rodrigo: Admin vipi mbona hatuambizani??
Rojo: Left
Young; Goodbye Members, on the way to Intermilan
SAMATTA: Msalimie Lukaku
*Young* ; Left
Zouma; oi naingia tizi nina Newcastle baadae
De Gea; anavyoaga utadhani bonge la beki,
*Arrizabalaga* : De save acha unafiki
Rui Patricio; unafiki tena??
Raul Jemenez: kueni basi
Wesley: Samatta
Samatta: Ugua pole bro
Maddison; Karibu Genkman
Samatta; Madders
Fred: Oi Mazeee, kesho Liverkuku naogopa kinoma
Longstaff; kisa??
Fred; Dimba lile niko mwenyewe
Matic;
Martial; Liverkuku mbona wanaleft hadi baba yao
Milner; jiheshimu Martial
Smalling; na sisi tulio kwa mkopo tunaruhusiwa kuchangia??
Dan Ceballos:
Ndombele; Niggers, Samatta, ndo nani aisee
Samatta: Baba lao
*KDB* : Added Solskjaer
Solskjaer; Oi wamasai bado wanafuga.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom