Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_7510.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten

1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City

Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten

NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.

Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
 
Nikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten

1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City

Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten

NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.

Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
Kweli king Ngwabaa...... Na sasa hv kikubwa tunatafuta record ya kuchukua tittle kwa point gap kuanzia 105+ pts...... #YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten

1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City

Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten

NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.

Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
On my Opinion only wolves kwa sasa ndio wanaweza kuchallenge Klopp's masterclass, we are far way more better than this city side
 
Nikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten

1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City

Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten

NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.

Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine

That is the language I speak too.
 
kweli tupu. note: City akiendelea kupoteza mechi na reds tukashinda idadi ya mechi za kuthibitisha ubingwa zinapungua.
this time around ubingwa ni wa the reds.
Yeah sisi tushinde game zetu tu, zinaweza zikawa chin ya hata hizo 9 tunazosema kutegemea na matokeo ya city...
 
kweli tupu. note: City akiendelea kupoteza mechi na reds tukashinda idadi ya mechi za kuthibitisha ubingwa zinapungua.
this time around ubingwa ni wa the reds.
Hizo 9 ni kwamba city asipoteze nae game zake na sisi tusipoteze...akipoteza maana yake anazid kupunguza game na kuzifanya chache sana ...muhimu sisi tushinde game zetu tuu...
 
Nikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten

1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City

Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten

NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.

Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
shida ni klopp akichukua league mapema..ataweka nguzu zote uefa..klopp swala la kuvunja records hana mda nalo..
 
Nikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten

1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City

Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten

NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.

Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
Unbeaten wa kweli ni gunners tu....hawa wengine wa zama hizi mmmmmhhhhh....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom