Gomez is Klopp wild card man....
Gomez is Klopp wild card man....
The unsung hero...
Bring the bouncer Traore we are ready to tango...
YNWA


Kweli king Ngwabaa...... Na sasa hv kikubwa tunatafuta record ya kuchukua tittle kwa point gap kuanzia 105+ pts...... #YNWANikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten![]()
1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City
Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten
NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.
Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
On my Opinion only wolves kwa sasa ndio wanaweza kuchallenge Klopp's masterclass, we are far way more better than this city sideNikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten![]()
1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City
Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten
NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.
Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
On my Opinion only wolves kwa sasa ndio wanaweza kuchallenge Klopp's masterclass, we are far way more better than this city side
Nikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten![]()
1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City
Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten
NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.
Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
ben woodburn mpira utamshinda yule..aende bundesliga akachanganye akili kwanza...akiuzwa shaqir basi grujic anatakiwa awepo tu.... sema kuna jones nae anatala nafasi
mimi anaeniuma ni ben wood.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah sisi tushinde game zetu tu, zinaweza zikawa chin ya hata hizo 9 tunazosema kutegemea na matokeo ya city...kweli tupu. note: City akiendelea kupoteza mechi na reds tukashinda idadi ya mechi za kuthibitisha ubingwa zinapungua.
this time around ubingwa ni wa the reds.
Hizo 9 ni kwamba city asipoteze nae game zake na sisi tusipoteze...akipoteza maana yake anazid kupunguza game na kuzifanya chache sana ...muhimu sisi tushinde game zetu tuu...kweli tupu. note: City akiendelea kupoteza mechi na reds tukashinda idadi ya mechi za kuthibitisha ubingwa zinapungua.
this time around ubingwa ni wa the reds.
Tukishinda game ya leo kuna possibility kubwa ya kuchukua ubingwa kabla hata ya kwenda etihad kuminyana na city...Kati ya mechi 10 zakutupatia ubingwa tukishinda mechi 5 tu mfululizo ndo ntaanza kushangilia ubingwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
shida ni klopp akichukua league mapema..ataweka nguzu zote uefa..klopp swala la kuvunja records hana mda nalo..Nikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten![]()
1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City
Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten
NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.
Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
Unbeaten wa kweli ni gunners tu....hawa wengine wa zama hizi mmmmmhhhhh....Nikiangalia kwa mbaaaali ninaona test 2 tu za kumaliza Ligi unbeaten![]()
1) Leo dhidi ya Wolves
2) Dhidi ya Man City
Tukizipita hizo 2 haki ya Nani tunamaliza Ligi unbeaten
NOTE: Tusileteane habari za ubingwa hapa, Ubingwa tulimalizananao since December.
Sasahivi ni habari za unbeaten tu na si jengine
AiseeeeehhhhhYani sinenepi kwa sisi kubeba ubingwa wa EPL
Bali nanenepa kwa shida wanazozipata Manure tu
Kwakweliliverpool nguvu kubwa msimu huu ni kuchukua EPL hayo mengine ni AOB....lakini kwa mambo yanavyoenda sasa hivi nafikir kila kikombe kilichobaki klopp anakitaka