Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,455
- 27,100
Good idea
Anything can happen, kama man cty alipigwa na Norwich kwanini liver asifungwe na man u? Maana sioni tofauti yoyote kati ya man u na NorwichAny predictions Kwa game against pogba FC?
Hapana hawez kumuweka bench VVD , bas hata Gomez ?
YesAnything can happen, kama man cty alipigwa na Norwich kwanini liver asifungwe na man u? Maana sioni tofauti yoyote kati ya man u na Norwich
MmmmmmhKwamimi bila ya kushauriwa na Mtu yeyote bali ni mawazo yangu huru, Ukiniwekea Fit Gomez, Fit Maguire na Fit VVD basi nachagua Fit Gomez mchana kweupeeeeeee.
Nina sababu:
VVD mwanzo wa Msimu kawa partner na Matip kashindwa kupata clean sheet mpaka mimi binafsi nikaanza kuhoji ubora wake.
Akawa partner na Lovren kashindwa kupata clean sheet mpaka mimi binafsi nikaanza kuhoji ubora wake.
Lakini VVD huyuhuyu alipokuwa Partner na Gomez basi tunahesabu Clean sheet mpaka tunapotelea hesabu.
In short VVD hawezi kukupa iwapo atakuwa partner na beki yeyote yule asiyekuwa Gomez, But Gomez anakupa Clean sheet hata umpange na Phill Jones wa Manure.
Someone may prove me wrong.
Bearded Gomez is dope man...Kwamimi bila ya kushauriwa na Mtu yeyote bali ni mawazo yangu huru, Ukiniwekea Fit Gomez, Fit Maguire na Fit VVD basi nachagua Fit Gomez mchana kweupeeeeeee.
Nina sababu:
VVD mwanzo wa Msimu kawa partner na Matip kashindwa kupata clean sheet mpaka mimi binafsi nikaanza kuhoji ubora wake.
Akawa partner na Lovren kashindwa kupata clean sheet mpaka mimi binafsi nikaanza kuhoji ubora wake.
Lakini VVD huyuhuyu alipokuwa Partner na Gomez basi tunahesabu Clean sheet mpaka tunapotelea hesabu.
In short VVD hawezi kukupa iwapo atakuwa partner na beki yeyote yule asiyekuwa Gomez, But Gomez anakupa Clean sheet hata umpange na Phill Jones wa Manure.
Someone may prove me wrong.
...Any predictions Kwa game against pogba FC?
thamani ya ule usiku wanaijua tuu washabiki wa liverpool, kelele za pale Anfield nasikia ni balaa, ingawa naona tu kwenye tv , sijui lini na mimi nitakuwepo uwanjan moja kwa moja ni experience hayo makelele
Kuna watu wanasema hakosei huyo ha ha haaa hiyo ilikua ni sababu kubwa sana tukakosa ubingwa jambo jema kama kajifunzaKlopp kajifunza meng msimu uliopita baad ya kumuachia Clyne, kukawa hamna backup yake jambo lililopelekea kugawana point kijinga kbs na foxes kule kingpower
Yaya Toure sijui anatutafuta nini wana Liverpool
Kuna Sangoma mmoja yupo Kitaa hapa nikupe namba yake umcheki anaweza kukupeleka Anfeld ndani ya Dakika 5.
Lakini VVD huyuhuyu alipokuwa Partner na Gomez basi tunahesabu Clean sheet mpaka tunapotelea hesabu.
Huyo jamaa nasoma comments zake nabaki kucheka, kazidisha ujuaji, yaani anachambua mpira kama anachambua mchichaWe jamaa ni shida, unahesabu 1, 2, 3, 4,... then unajichanganya unaanza kuulizana upya, ngapi vile?
Huyo jamaa nasoma comments zake nabaki kucheka, kazidisha ujuaji, yaani anachambua mpira kama anachambua mchicha
We lost the title when we drew against westham na manureKuna watu wanasema hakosei huyo ha ha haaa hiyo ilikua ni sababu kubwa sana tukakosa ubingwa jambo jema kama kajifunza
'mtindilo'
We lost the title when we drew against westham na manure
Mbwana Samatta anakaribia kutua Aston Villa