Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Hem jiuli
Hivi jamani kwanini hamtuelimishi sie tusiojua mpira tukajua majukum ya Hendo na anavyo tekeleza?
Kiukweli mechi zote nilizo angalia Hendo akiwa nje team hua inachangamka zaidi katikati kuliko anapo kwepo labda mnifundishe namna ya kutazama mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Hem jiulize na wewe nini kimempa hii tuzo?ni ile asist ya man city au ya Bonomuth au uwepo wake tu uwanjani imetosha kumpa tuzo?Nimecheka hapo kwenye washindani wake ,
Ila hii tuzo ilikuwa ya TAA kabisa
Hivi jamani kwanini hamtuelimishi sie tusiojua mpira tukajua majukum ya Hendo na anavyo tekeleza?
Kiukweli mechi zote nilizo angalia Hendo akiwa nje team hua inachangamka zaidi katikati kuliko anapo kwepo labda mnifundishe namna ya kutazama mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
