Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Keita ni the most talented footballer kwenye kikosi cha Liverpool.

The Most Talented.
Keita bado hajiamini pale tutamfaidi akija kukabidhiwa namaba rasmi na hisi Klopp anamnyima uhuru bado.

Shangaa pamoja na kucheza vyema mechi za karibuni juzi kawekwa bechi kanza Lalana lazima ukose comfidensi ukakosa majibu kocha anatakaje ukipangwa huizi funguka ukihofu kumuuzi kocha ndomana hatuoni kipaji chake kwa sasa anafata maelekezo zaidi hajiongezi.


Naomba Minamino asikutane na hii hali tuone ubora wake mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu kuna watu wanamkubali eti
Muriohno heading for the sack...

They didn't bring him for this...
Yule si mwalimu ni msimamizi tu mwezi tu yayali team haijulikani inacheza je

Kimbembe kina anza kesha anza kutoa kasoro Kene kina Ali wameanza kua wakabaji ha ha haa

Narudia kumpa pole Lev kwa kumpa kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Keita bado hajiamini pale tutamfaidi akija kukabidhiwa namaba rasmi na hisi Klopp anamnyima uhuru bado.

Shangaa pamoja na kucheza vyema mechi za karibuni juzi kawekwa bechi kanza Lalana lazima ukose comfidensi ukakosa majibu kocha anatakaje ukipangwa huizi funguka ukihofu kumuuzi kocha ndomana hatuoni kipaji chake kwa sasa anafata maelekezo zaidi hajiongezi.


Naomba Minamino asikutane na hii hali tuone ubora wake mapema

Sent using Jamii Forums mobile app

Sidhani kama hajiamini, nafikiri kocha anamchezesha Lallana ili kuonekana, kama tukipata timu ya kumchukua hii January anaondoka.

Vinginevyo ataondoka free June.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom