Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Sina mifano zaidi ya hizi mechi mbili namuona kama anashikilia sana mipira mpaka adui anajipanga.msimu alio ng'ara alijua kutoa pasi za hakika sasa anatoa pasi akikwama.sisemi ni mchoyo ila anatamani mafanikio yake kuliko team.a melewa mafanikio bila kujua kuwa ndo anajikwamisha.Toa mifano/stats halisi kwa kufanya comparison ifuatayo:
5 Matches with Salah v/s 5 Matches without Salah
Ukiamua kuchagua Matches usiwe biased coz ukisema tulimfunga 5 Everton bila ya Salah, pia ukumbuke tulimfunga Arsenal 5 tukiwa na Salah.
Ukileta Stats ukweli utaonekana, otherwise itabidi muendeleze story zenu tu.
Hii concept ya kuwa bila ya Salah tunashinda nyingi haina Fact yeyote just ni Myth tu.
Salah ndo anasababisha ile front ionekane imechoka.
Firmihno kunasiku alimnyima Salah pasi na kumpa Mane aliemazingila magumu zaidi ya Salah chuki hii ipo hata ukiangalia waliokua wanampoza Mane pale benchi kwenye lile tukio niwazi Salah alichukiwa.
Mechi ya juzi Klopp alipiga kelele baada ya Salah kulazimisha kufunga huku Mane akiwa kwenye nafasi nzuri zaidi nikatafsili huenda ndo sababu akamtoa siku ile mbaya zaidi baada ya kutoka mbele kuka changamka zaidi.
Kila mchezaji ni muhimu kama ataifanyia vyema Club
Sent using Jamii Forums mobile app