Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Lakini tunakawaida ya kupata magoli mengi Salah akiwa nje unalizungumziaje hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa mifano/stats halisi kwa kufanya comparison ifuatayo:
5 Matches with Salah v/s 5 Matches without Salah
Ukiamua kuchagua Matches usiwe biased coz ukisema tulimfunga 5 Everton bila ya Salah, pia ukumbuke tulimfunga Arsenal 5 tukiwa na Salah.
Ukileta Stats ukweli utaonekana, otherwise itabidi muendeleze story zenu tu.
Hii concept ya kuwa bila ya Salah tunashinda nyingi haina Fact yeyote just ni Myth tu.



TRUE