Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kama sikosei mbwa mwitu wako amecheza mechi kibao Anfield bila kuchomoza na ushindi hata mechi moja, sasa tafadhali kua na maneno ya akiba..Liverpool leo atang'atwa Mbwa mwitu hajawahi kuacha timu kubwa salama
NB:ushindi pekee watakaoupata Liverpool leo ni kushinda na njaa.
Tangu mwaka 1984 ametufunga si zaidi ya mara 3 hivi na ushindi wa mwisho aliupata 2010 kipindi tupo na Kocha Roy..
Chini ya Klopp hajachomoza na ushindi wowote...
Leo tunao hawa maana sasa waliotushindwa wengi wamehamishia karata zao kwake bila kusahau huyo Citizen alimfunga 2 na wakiwa pungufu baada ya Eder kupewa kadi...
Waletee Waletee...

