Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nakumbuka Kabla ya kuja Jürgen Klopp wengi wetu tulikuwa na Mediocre Mentality that's why hata usajili wa Lambert tulikuwa tukiona ni sawa.

But baada ya kuja Klopp na kutuletea watu kama Fabinho, Salah, Mane, VVD na Alisson ambao ni Calibre ya World Class player, tulipaswa kuondokana na zile Mentality za Mediocre ambazo ni za Midtable.

But kwa baadhi ya Washabiki wa Liverpool mpaka sasahivi bado wanashikilia zile Mentality za Midiocre za Timu ndogo.

Ndiyomana unapomwambia Sifa ya Timu kubwa hata kama itakuwa na Mchezaji mzuri kiasi gani basi wakiamua kusajili wanasajili upgrade yake aliyebora zaidi kuliko yeye! Basi hawa washabiki wanaoendeleza Small Team Mentality watakazania kukusifia LALLANA, ORIGI na MILNER na kuwa tayari Timu isisajili kwa sababu ya wachezaji hawa.

Hiyo ni SMALL TEAM MENTALITY
Contribution ya Divok Origi kwenye mashindano na mechi muhimu kwa Liverpool wewe huiioni?
Focus ya meneja kwa Sasa ni kuongeza idara ya ulinzi hasa baada ya team kukumbwa na majeruhi( matip,Gabby,lovren na juzi vvd ( kuugua) ikapelekea akunje mikono nyuma ya mgongo.
 
Nakumbuka Kabla ya kuja Jürgen Klopp wengi wetu tulikuwa na Mediocre Mentality that's why hata usajili wa Lambert tulikuwa tukiona ni sawa.

But baada ya kuja Klopp na kutuletea watu kama Fabinho, Salah, Mane, VVD na Alisson ambao ni Calibre ya World Class player, tulipaswa kuondokana na zile Mentality za Mediocre ambazo ni za Midtable.

But kwa baadhi ya Washabiki wa Liverpool mpaka sasahivi bado wanashikilia zile Mentality za Midiocre za Timu ndogo.

Ndiyomana unapomwambia Sifa ya Timu kubwa hata kama itakuwa na Mchezaji mzuri kiasi gani basi wakiamua kusajili wanasajili upgrade yake aliyebora zaidi kuliko yeye! Basi hawa washabiki wanaoendeleza Small Team Mentality watakazania kukusifia LALLANA, ORIGI na MILNER na kuwa tayari Timu isisajili kwa sababu ya wachezaji hawa.

Hiyo ni SMALL TEAM MENTALITY
Hahaha duuh Mkuu King hivi husisimki ukiwataja hao wachezaji uchwara Wa enzi hizo maana tulipotea haswaaa imagine unamuuza Surez jembe unaleta Lambert na Super Mario man that was us in the darkest period...

Kwangu Lallana, Hendo, Origi are just damn lucky to still be here and rubbing shoulders with the like of VVD, Allison, Mane, Fabby nk maana ni wachezaji Wa kawaida mno tena mno.. But for Klopp he has found a way of mixing the team and get the best of this boys regardless of their different levels...

With Klopp now here to 2024 am sure we will be seeing more upgrade to what we currently have..

And also we have to plan for life without some of our super stars wakiumua to search for new challenges.. Hatuwezi kuwategemea akina Lallana, Origi, Chamberlain, Shaqir...

Klopp wasn't brought to manage mediocre players ndio maana mdogo mdogo amekua akiuza au kuwaacha bure na kununua viwango anavyohitaji..

In Klopp we trust...
 
IMG_20191222_214457.jpg


ILIMCHUKUA FERGIE DECADE 3 KUITOA LIVERPOOL KWENYE PERCH YAO😎😎😎 THEN CANE THE NAZI BASTARD......WE AR BACK ON OUR PERCH....ALLEZ LES ROGUES
 
View attachment 1300548

ILIMCHUKUA FERGIE DECADE 3 KUITOA LIVERPOOL KWENYE PERCH YAO😎😎😎 THEN CANE THE NAZI BASTARD......WE AR BACK ON OUR PERCH....ALLEZ LES ROGUES
He had a score to settle that why he so into us.... But slowly we are reclaiming our lost top spot club in UK... Next available sweet trophy ni EPL
 
this has been one of the truly best weekends if you're a LFC supporter:

1. Crowned world champs
2. Maintain a 10-point gap at the top of EPL without kicking a ball
3. Manure gets beaten
4. Mourinho gets beaten

what more could a LFC fan have asked for as a Christmas present?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom