To you.... RightTo me; Hendo was man of the match! in this final match against Flamengo.
Today he was everywhere!
Sent using Jamii Forums mobile app
The wheels are coming offHii game ya Leicester City inanipa headache sana.
Wakati ameshafungwa na Man City atapambana sana ili asipoteze Back to Back
Hii game ya Leicester City inanipa headache sana.
Wakati ameshafungwa na Man City atapambana sana ili asipoteze Back to Back
Point6 zinatuhusu kwake mkuu apende asipendeHii game ya Leicester City inanipa headache sana.
Wakati ameshafungwa na Man City atapambana sana ili asipoteze Back to Back
Vijana watampiga mpaka achakae!Hii game ya Leicester City inanipa headache sana.
Wakati ameshafungwa na Man City atapambana sana ili asipoteze Back to Back
Jingaaaaa![]()
Reds ready for war, Henderson more than a captain - Liverpool round-up
The latest round-up of news involving Liverpoolwww.liverpool.com
![]()
Robertson makes Henderson prediction after Liverpool win CWC
Andy Robertson and Virgil van Dijk hail Liverpool captain Jordan Henderson for his performances in Qatar as Reds crowned world championswww.liverpoolecho.co.uk
Wanaopiga POROJO endeleeni,Captain May ananyanyua kwapa na anakuwa captain wa kwanza ktk Liverpool modern football kuchukua kila kitu.
SawaJingaaaaa
Ishu ndogo kukaa bila majeruhi, akicheza kati anafaa kuliko akiwa winger...Hiki ndicho kilichomuondoa Arsenal , Wenger alimwambia wewe ni winger na utabaki ni winger , yeye akasema Ni kiungo wa katokea kati ili awe anapiga mashuti .,ndicho anachokipenda sana,
Hilo hilo tu Mkuu, achana na hizo kelele tumeshakubaliana kwamba tuwaheshimu wachezaji wote. Sasa wewe kila siku unashusha nyuzi za Hendo kana kwamba unafurahia kukwaza watu hapa jukwaani! Ujue mkuu huwa kuna jini la fitina, ambalo likiona mahali pa na furaha linajichomeka katikati ili kuvuruga furaha, sasa naona limekukalia ndio maana kila wakati unashusha hayo mashudu yako!Sawa
Lingine?
Proper xma... For realthis has been one of the truly best weekends if you're a LFC supporter:
1. Crowned world champs
2. Maintain a 10-point gap at the top of EPL without kicking a ball
3. Manure gets beaten
4. Mourinho gets beaten
what more could a LFC fan have asked for as a Christmas present?
i really hope soThe wheels are coming off
Walianza na draw, wakaja defeat, tutawapiga and it will be the end of a fairy tale



Hilo hilo tu Mkuu, achana na hizo kelele tumeshakubaliana kwamba tuwaheshimu wachezaji wote. Sasa wewe kila siku unashusha nyuzi za Hendo kana kwamba unafurahia kukwaza watu hapa jukwaani! Ujue mkuu huwa kuna jini la fitina, ambalo likiona mahali pa na furaha linajichomeka katikati ili kuvuruga furaha, sasa naona limekukalia ndio maana kila wakati unashusha hayo mashudu yako!
Hii game ya Leicester City inanipa headache sana.
Wakati ameshafungwa na Man City atapambana sana ili asipoteze Back to Back
Hii game ya Leicester City inanipa headache sana.
Wakati ameshafungwa na Man City atapambana sana ili asipoteze Back to Back