Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wamekaa mwaka mzima wakiombea Liverpool FC afungwe, hajafungwa...sasa furaha yao ni leo kwa watoto wetu. Watu wa hivi ni kuwapuuza tu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walichobakiza sasa ni kushangilia timu za Women League maana huko ndiko wanashinda. Huku kwa wanaume tumewanyoosha! Manure wana taabika sana mwaka huu! Kufungwa leo kwa hao madogo wala hatuwezi kuwalaumu hata kidogo, KALA BAO ni kitu gani kwetu? We are aiming high!!
 
Ukitoa magoli, watoto walicheza mpira Kama ilivyo liver ya wakubwa. Wameonesha performance kubwa sana. Magoli mengi yalitokana na makosa madogo madogo na kukosa uzoefu. Elliot ameiva anaweza kuchezea timu ya wakubwa.
FB_IMG_15766362694616672.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walichobakiza sasa ni kushangilia timu za Women League maana huko ndiko wanashinda. Huku kwa wanaume tumewanyoosha! Manure wana taabika sana mwaka huu! Kufungwa leo kwa hao madogo wala hatuwezi kuwalaumu hata kidogo, KALA BAO ni kitu gani kwetu? We are aiming high!!

Mkuu kwanza kubali kuwa umefungwa goli 5.

Mbona siku ile mlipanga kikosi B mlivyofunga mlikuja na majigamboo leo umefukunyuliwa unaanza mara aaa karabao kombe gani kwetu?
 
Kama FA waligoma kubadili ratiba walitaka tufanye nini??ucheze tuseday 2245hrs then ucheze Wednesday 2030hrs sio kweli hata sheria za FIFA zinasema angalau masaa 48 sasa Sisi tumeenda Doha uko kwa malengo mawili makubwa
1st kuangalia uwezekano wa kutwaa
2nd kuendelea na mazoezi na wachezaj kurefresh maana our main target ni EPL.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii carabao naona dharau nying

Et ooh tunataka
Uefa
Super cup
Epl
World cup,
Hata hivyo juu vinaweza kupita kushoto kuku nyie


Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona unaumia roho,viki pita kushoto kunashida gani? Au wewe mpira umeanza kuangalia msimu huu wa 2019/2020? .mbona unateseka hivi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Haya ni maneno ya kujifariji baada ya kuchakazwa ipasavyo. Umekula Hamza 5 bila tena bila huruma

Inaonesha ulikuwa unaweweseka kuisubiri Liverpool ifungwe?
Kwavile hakuna Mtu anayesubiri kuiona Chelsea ikifungwa! Hii kuisubiri Liverpool ifungwe ina maana kubwa sana katika kutafsiri Ukubwa wa Timu.
 
Inaonesha ulikuwa unaweweseka kuisubiri Liverpool ifungwe?
Kwavile hakuna Mtu anayesubiri kuiona Chelsea ikifungwa! Hii kuisubiri Liverpool ifungwe ina maana kubwa sana katika kutafsiri Ukubwa wa Timu.

Tunawapelekea moto kwenye mioyo yao,wanaumia sana ,maana tunaenda msimu wa pili huu tumefungwa mechi moja tu kwenye epl.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom