Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
when was this? is that not Emre Can?
Yes! Ni Emre
when was this? is that not Emre Can?
Ukimuondoa Vardy wengine ni makinda fulani wana kasi ajabu ni mpira Wa kaunta tu kabisa..Hivi sasa haya mabwege ndo yamekluwa tishio letu... maisha yanaenda kwa kasi sana asee...
Umeamua kutulisha matango pori
Yaani jamaa anazeeka anazidi kua bora zaidi aisee...Akiumia huyo ndio wataanza kupoteza mechi
That is attainable one game at time...Tukitoka salama hapo basi ligi tunamaliza invisible
Hahaha guys must be cursing Klopp
Kila Mtu ashinde Mechi zake
We need you fit Alpine Messi.. Nice to know you will be here beyond January
Wow just wow.. RB at 21 hitting those numbers is just epic..
Mkuu King hii inaitwa for the love of the game ndio maana binafsi nawafuatiliaa just to enjoy football....Kumbe humu kuna Watu wanafatilia game za Leicester?
Sijawahi kufikiria kuwa Leicester ni Contender wetu.
Sasahivi ubingwa unadetetmine na kuzifunga Timu kubwa na Vibonde. Tofauti na mwaka aliochukua ubingwa yeye ilikuwa inadetermine na kuvifunga vibonde tu ndiyomana alibeba ubingwa ingawa alidundwa na Timu kubwa.
Sasa msimu huu mambo yamebadilika. Leicester hana uwezo wa kuzifunga Timu kubwa zaidi ya alivyomfunga Arsenal.
Anaweza kudraw uwanjane kwake lakini akienda Away hawezi kushinda wala kudraw kwa Timu kama Man City, Spurs, Man United na Liverpool.
So, hanipi pressure hata kidogo.. Ninachohitaji tuimalize January tukiwa tumempita Man City kwa points 15+ tu, huyu Leicester hata kama tumempita Kuwa points 1 bado hajanipa wasiwasi.
Habari njema sana hizi kusikilizaTimu iko safarini muda huu good news Lovren & Gin wamejumuishwa kikosini
Kuwa mabingwa wa Ulaya hatukutarajia mechi rahisi popote pale hivyo tupo tayari Kwa mechi hio kali.."Haaland nipigie hawa vijana wa Klopp"...msinitukane tu wakuu
Kesho mechi yenu itakuwa kali sana
"Haaland nipigie hawa vijana wa Klopp"...msinitukane tu wakuu
Kesho mechi yenu itakuwa kali sana