Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi sasa haya mabwege ndo yamekluwa tishio letu... maisha yanaenda kwa kasi sana asee...
Ukimuondoa Vardy wengine ni makinda fulani wana kasi ajabu ni mpira Wa kaunta tu kabisa..

Ni kasi haswa eti sasa Manchester City kwenye mbio za ubingwa kama vile hawapo tena aisee mambo yamebadilika Kwa kasi ya ajabu..

Tukiwatuliza kwao itakua imekaa powa sanaa maana Kwa sasa tumewaacha pointi 8..
 
Kumbe humu kuna Watu wanafatilia game za Leicester?

Sijawahi kufikiria kuwa Leicester ni Contender wetu.

Sasahivi ubingwa unadetetmine na kuzifunga Timu kubwa na Vibonde. Tofauti na mwaka aliochukua ubingwa yeye ilikuwa inadetermine na kuvifunga vibonde tu ndiyomana alibeba ubingwa ingawa alidundwa na Timu kubwa.

Sasa msimu huu mambo yamebadilika. Leicester hana uwezo wa kuzifunga Timu kubwa zaidi ya alivyomfunga Arsenal.

Anaweza kudraw uwanjane kwake lakini akienda Away hawezi kushinda wala kudraw kwa Timu kama Man City, Spurs, Man United na Liverpool.

So, hanipi pressure hata kidogo.. Ninachohitaji tuimalize January tukiwa tumempita Man City kwa points 15+ tu, huyu Leicester hata kama tumempita Kuwa points 1 bado hajanipa wasiwasi.
Mkuu King hii inaitwa for the love of the game ndio maana binafsi nawafuatiliaa just to enjoy football....

Ni Kwangu ni bora anisogelee Kwa pointi Leicester kuliko Manchester City kwani hapo hata ma pundits wanaanza kubeti nasi ku drop points uliona msimu uliopita especially kwenye gemu tulizocheza siku tofauti na City akatangulia kucheza na akashinda basi ulikua unasikia "now the pressure back to Liverpool" bla bla... Hivyo Kwangu I would wish Foxes wawe ndio namba 2 hivi hivi City abakie hukooo...

Ukweli tushinde gemu zetu hawa wengine watajijua wenyewe..

I quote one of our great managers of all time Bill Shankly "If you are first you are first. If you are second you are nothing."
 
7961cc7b-4088-4adc-b0c0-656e80c42108.jpg

Fundi wa mpira
Akirudi mwezi ujao atakuwa kapumzika vya kutosha!
Tumuombee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom