Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6853.JPG
 
Kwa hii game ya leo

Ni rahisi sana lecister city kumfunga man city kuliko liverpool,
 
Kwann umeona hivyo?
City beki zake mbovu sanaa,

Na kama watakutana na lecister city yenye foward wakali kina vardy na counter attack hatar, naiona city ikila magor ya kutosha,

City wanaposess sana mpira, mbaya zaid hakuna mbunifu wa kufumania nyavu, wanapasiana had kwenye box, mpaka wanapoteza mpira

Wamebaki wakibabatiza mpira mikonon huku wakisubili var penalt,

Stering, maherez wote wanapokutana na beki ngumu huwa hawanaga ujanja tena, hata shot za mbali, hawana ,ex man u

City wanapanda sana juu, huku nyuma ni kubovu sanaa, wanaacha vi nafasi flani, ambavyo foward akitulia anawapiga gor nying sana ex rashford kakosa clear chance kabisa

Lecister city kumfunga man city is very simple,
 
wapate sare tu hii game
City beki zake mbovu sanaa,

Na kama watakutana na lecister city yenye foward wakali kina vardy na counter attack hatar, naiona city ikila magor ya kutosha,

City wanaposess sana mpira, mbaya zaid hakuna mbunifu wa kufumania nyavu, wanapasiana had kwenye box, mpaka wanapoteza mpira

Wamebaki wakibabatiza mpira mikonon huku wakisubili var penalt,

Stering, maherez wote wanapokutana na beki ngumu huwa hawanaga ujanja tena, hata shot za mbali, hawana ,ex man u

City wanapanda sana juu, huku nyuma ni kubovu sanaa, wanaacha vi nafasi flani, ambavyo foward akitulia anawapiga gor nying sana ex rashford kakosa clear chance kabisa

Lecister city kumfunga man city is very simple,
 
City beki zake mbovu sanaa,

Na kama watakutana na lecister city yenye foward wakali kina vardy na counter attack hatar, naiona city ikila magor ya kutosha,

City wanaposess sana mpira, mbaya zaid hakuna mbunifu wa kufumania nyavu, wanapasiana had kwenye box, mpaka wanapoteza mpira

Wamebaki wakibabatiza mpira mikonon huku wakisubili var penalt,

Stering, maherez wote wanapokutana na beki ngumu huwa hawanaga ujanja tena, hata shot za mbali, hawana ,ex man u

City wanapanda sana juu, huku nyuma ni kubovu sanaa, wanaacha vi nafasi flani, ambavyo foward akitulia anawapiga gor nying sana ex rashford kakosa clear chance kabisa

Lecister city kumfunga man city is very simple,
Na huyo Leicester akikutana na liver anakalishwa vizuri tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom