Mbona kishindo cha awamu ya 5 wanasemaga barabara yote toka Dar mpaka Dom ni 4G? Kazi kweli kweli!
Tunaendelea na rotation ..View attachment 1284658
Ingawa siyo mshindani wetu lakini wacha tu apigwe!!Yani Everton anavyomuadhibu Chelsea huwezi kuamini
Ni kikosi kizuri sana hicho ingawa nina wasiwasi na Gomez hapo.
Lol! Nilidhani ile Kadi ya Alison (Straight red card) ni suspended ya 3 matches au kuna mabadiliko ya sheria?
Ni kikosi kizuri sana hicho ingawa nina wasiwasi na Gomez hapo.
Lol! Nilidhani ile Kadi ya Alison (Straight red card) ni suspended ya 3 matches au kuna mabadiliko ya sheria?
Ni kikosi kizuri sana hicho ingawa nina wasiwasi na Gomez hapo.
Lol! Nilidhani ile Kadi ya Alison (Straight red card) ni suspended ya 3 matches au kuna mabadiliko ya sheria?
M mwenyewe nilidhani Hilo ila mwezi huu tutachakaa ..wacha wengine wapumzuke kidogo games nying lolNi kikosi kizuri sana hicho ingawa nina wasiwasi na Gomez hapo.
Lol! Nilidhani ile Kadi ya Alison (Straight red card) ni suspended ya 3 matches au kuna mabadiliko ya sheria?
Inanikumbusha Chelsea ya akina Ed de Goey, Denis Wise, Celestine Babayaro, Jimmy Floyd na CasiraghiYani Everton anavyomuadhibu Chelsea huwezi kuamini
Hivi unafahamu Kama j4 Kuna game pia ya UCL na ni muhimu pia...tunamuhitaji TAA zaidi hiyo game mwache atulize miguu kidogo!Gomez na Milner hawakustahili kuanza hii game
Mkuu usimsahau na Tore Andre Flo...Inanikumbusha Chelsea ya akina Ed de Goey, Denis Wise, Celestine Babayaro, Jimmy Floyd na Casiraghi
Chonde chondeHivi unafahamu Kama j4 Kuna game pia ya UCL na ni muhimu pia...tunamuhitaji TAA zaidi hiyo game mwache atulize miguu kidogo!
Ha ha ha!Mkuu usimsahau na Tore Andre Flo...
non violent contact ni one game mkuu.........
Mkuu Presha ziko sawa Bora kutoka mtoano kuliko kushindwa kufuzu ...tunaweza vunjika moyo kupambana zaidi kwenye EPL ..ila games za EPL bado nyingi sana uzuri Yuko benchi Gomez akichemka mbadala upo...all in all point 3 ndo muhimu zaidi ..Chonde chonde
Tunahitaji EPL
Hayo makombe mengine angewapanga akina Lalana