Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Kwenye maisha yangu ya kuishabikia Liverpool, hakujawahi kuwepo kipindi cha furaha kuzidi hiki.
Jana niliangalia game na washabiki kadhaa wa Man United, goli lilivyorudi wakazomea sana. Halafu mimi nikawaambia siyo mara moja wala mbili tumeshinda game dakika kama hizi. Hivyo hata hii tutashinda.
Na tukashinda kweli. I wish watu wote wangejua utamu wa kuishabikia Liverpool wakajiunga.
Jana niliangalia game na washabiki kadhaa wa Man United, goli lilivyorudi wakazomea sana. Halafu mimi nikawaambia siyo mara moja wala mbili tumeshinda game dakika kama hizi. Hivyo hata hii tutashinda.
Na tukashinda kweli. I wish watu wote wangejua utamu wa kuishabikia Liverpool wakajiunga.