Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hahaha Dele yupo vizuri sijajua ni upepo upi uliwapitia pale Spurs mpaka kujikuta walipo EPL....Mkuu hiyo nahis anataka afanye kama difencing mechanism kwa sababu anajua kwenye mfumo wa mo hawez fit maana anampira wa wiz wiz tu kama lingard thus y kaanza kujishuku
