Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndo maana anataka asepe
Ata mane anapewa kamahahara kadogo kulingana na uwezo wake, though hapo kwa mane kuna excuse, ila si kwa Klop
Huo mshahara Wa Klopp sio sawa huo ni wa 2016 alivyoajiriwa Anfield so baada ya contract extention walimuongeza mpunga japo hawakuweka wazi..

Ukiweka adds on na bonuses Kwa contract ya zamani Klopp alikua anapata zaidi £15m...
 
Huo mshahara Wa Klopp sio sawa huo ni wa 2016 alivyoajiriwa Anfield so baada ya contract extention walimuongeza mpunga japo hawakuweka wazi..

Ukiweka adds on na bonuses Kwa contract ya zamani Klopp alikua anapata zaidi £15m...

Maisha ya mpira huwez kuficha
Mishahara yote Uingereza ni lazima iwe kwenye System kwa ajili ya Kodi

Sa unavyosema wameficha sikuelewi
Mshahara ndo huo, bonuses huwa ni negligible
 
Huo mshahara Wa Klopp sio sawa huo ni wa 2016 alivyoajiriwa Anfield so baada ya contract extention walimuongeza mpunga japo hawakuweka wazi..

Ukiweka adds on na bonuses Kwa contract ya zamani Klopp alikua anapata zaidi £15m...
Leta takwimu zako kuhusu mshahara wa klop, sio unaongea tu


Klop sanuka hapo, liverpool wanyonyaji mshahara gan huo had Mo kaja jana anakuzid
 
Maisha bhanaaa
IMG-20191121-WA0028.jpeg
 
Basi ataendelea kupokea vipigo
Kwangu itakua powa zaidi ili nizidi kuji weka sawa msimamo Wa ligi...

Ligi inazidi kunoga sasa sio tena mbio za farasi wawili mbali wapo pia Chelsea, Foxes, Citizen na sisi Majogoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom