Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Porojo
Ohh Klopp hawezi shinda final
Kashinda mbili
Sasa wavimba macho mnakimbilia kwenye VAR
Tumepiga Mungu mtu wenu wa soka 3
Hadi January gap itakua points 15+
Klopp hafanyi kosa mara mbili
 
If it was nothing to discuss why did u qouted [emoji67] with those offensive words? Mjuba dont u see ur revealing urself who u're?

Unaumia nini kamw haijakugusa. Narudia tena dont take it personal.
 
If it was nothing to discuss why did u qouted [emoji67] with those offensive words? Mjuba dont u see ur revealing urself who u're?

Unaumia nini kamw haijakugusa. Narudia tena dont take it personal.
I wish ningeumia

Vipi umeshamaliza quoting?

Mtulieeee.... Majukwaa yenu Yana sonona sasa mnalazimisha silly attention humu
 
Porojo
Ohh Klopp hawezi shinda final
Kashinda mbili
Sasa wavimba macho mnakimbilia kwenye VAR
Tumepiga Mungu mtu wenu wa soka 3
Hadi January gap itakua points 15+
Klopp hafanyi kosa mara mbili
And var has proved with stats that we haven't gained anything from it.... With or without it, we would have 34 points

Anyways... Wakitulia tutajadili soka

Klopp flipped his flanks against citeh for Only five minutes and you could see KDB and Silva struggling to follow their coach instructions
 
Duh hatari sana😀😀
 
Huyu ni me wakuu sio ke(joke)
 
hili jukwaa linazidi kujaa watu kutoka kila kona kama chelwowo nyumbu mancity arsenane na kunakituko cha fox kimeingia eti(maisha yapo kasi kweli) ok me nafurahi binafsi maana kama mtu kwenye pitch kashindwa kupambana means maneno ndo kitu kilichobaki kwake na kauli za kinyonge. Nadhani ni muda wa washabiki wa LFC katika huu uzi kujivunia kwani wapinzani wakiwa wengi sana jua kua unawatesa,unawasulubu,unawaumiza .
Tujiulize mbona kipind tuko na kina CAROLL, SHELVER, BELLAM na wengineo tulikua hatusumbuliwi kias hiki lkn hiki kipind tuko na kina FAB, MANE, SALAH, BOBBY watu wanaumia tu bila sababu???? Hahaha bila kupapasapapasa utagundua kwel LIVERPOOL imekuja kufanya mapinduzi europian , na hiki ndo kinachowakosesha watu furaha yaan hawataki kuamin ile LIVERPOOL imerudi , na hik ndo kinawafanya watu washinde wanakejeli kwenye hii thread mitandaoni .
 
Huyu ni me wakuu sio ke(joke)
Mnashindwa kwenye arguements mnakimbilia katika ubaguzi wa kijinsia,sasa hata kama niwe wa kike siruhusiwi kuzungumzia soka????

Hebu onesha mahali walipoandika kuwa hapa ni special for men only.....

Muwage na akili nyie viumbe mbona hamjielewi????
 
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa Liverpool analidharau kombe la epl ndiyo maana hajalibeba kwakipindi Cha miaka26?
 
Mnashindwa kwenye arguements mnakimbilia katika ubaguzi wa kijinsia,sasa hata kama niwe wa kike siruhusiwi kuzungumzia soka????

Hebu onesha mahali walipoandika kuwa hapa ni special for men only.....

Muwage na akili nyie viumbe mbona hamjielewi????
Hawa wamevurugwa na point za kubebwa na var,


29 years without title sio kawaida ndio maana wanachanganyikiwa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa Liverpool analidharau kombe la epl ndiyo maana hajalibeba kwakipindi Cha miaka26?
29 mkuu sio 26....hawa kwa kifupi kitu kinachoitwa EPL hawajawahi kubeba,sisi THE FOXES tupo juu zaid yao
 
The problem umeshajisahau. Siyo wewe uliyekuwa unapiga umbea na ndugu zako wa Arsenal kwenye jukwaa la Chelsea? Halafu angalia utumbo ulio andika hapo.

tunakuja kwa sababu na nyie pia mnakuja msianze kujikuta special sana na wakati hata nafasi uliyopo ni ya muda tu.
 
that's the way you use to avoid the challenge ?????? Kwa kutaka opponents wasiattend kwa hii platform yenu hahahahahahahahahaha kwa hili mumefeli totally labda muombe mods walipeleke kule JLW huko mtakuwa na na amani mana wengi watakosa access ya kuattend lakini hapa tutawanyoosha kuku nyie....
 

Tatizo lako wewe ni Plastic Fan

Umehama Arsenal
Umehamia Leicester City
Next sijui itakuwa wapi!
Yani wewe ni mshabiki hamahama
 
Tatizo lako wewe ni Plastic Fans

Umehama Arsenal
Umehamia Leicester City
Next sijui itakuwa wapi!
Yani wewe ni mshabiki hamahama
Wapi waliposema shabiki haruhusiwi kuhama?ukileta hicho kifungu najipiga lifeban,

ukiachana kwamba mimi sijawahi kuwa shabiki wa ase8....mbona nyie viumbe mnakuwa hivyo jamani
 
International break haina urafiki na Robbo kila akiitwa hachezi mechi mbili, anacheza mechi moja anapata minor au asicheze kabisa.
.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…