[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.
Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......
Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji16][emoji16]
YNWA
VAR ya uingereza wanaingalia wote hadi mashabiki huku refa akipewa maelezo ya ziada na waliokuwa vyumbani, tena hao wanaompa maelezo wako mbali sana saa nyingine wanatofautiana mikoaSijawahi kuiona kabisa, na je huwa inatumika vp? Refa huwa anaenda kuona marudio ya tukio?
Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.
Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......
Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji16][emoji16]
YNWA
Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.
Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......
Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji16][emoji16]
YNWA
Huo utalatibu utautumia wewe ukweni kwa wakwe zako tu wala sivingenevyo! over;Ollachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.
Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......
Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji16][emoji16]
YNWA
Kama imekuuma chomoaHuo utalatibu utautumia wewe ukweni kwa wakwe zako tu wala sivingenevyo! over;
VAR ya uingereza wanaingalia wote hadi mashabiki huku refa akipewa maelezo ya ziada na waliokuwa vyumbani, tena hao wanaompa maelezo wako mbali sana saa nyingine wanatofautiana mikoa
Mzee fatilia utajua, wale wa VAR wapo mkoa mmoja tu na mativii yao wakifatilia mechi sasa jiulize EPL inachezwa mkoa mmoja tu?Duuu, hahahahhahah, hapa umeongeza chumvi, eti mbali wanatofautiana mikoa [emoji3][emoji3]
Hii liverpool inayoandaliwa ubigwa ndio niwaite bingwaOllachuga Oc , Pain killer na Mashabiki wengine wa timu zilizoishiwa pumzi kama Chelsea,United na Arsenal nawaomba sana muwe na adabu.
Mnapokuja hapa jukwaani, muonyeshe heshima maana hili ni jukwaa la Club Bingwa barani ulaya. Hivyo basi mnapoitaja liverpool muanze kwa kusema CLUB BINGWA BARANI ULAYA LIVERPOOL wamefanya ......
Nadhani kuanzia sasa huu utaratibu uanze kutumika si kwa wale wageni toka majukwaa mengine hata sisi wa jukwaa hili. Hii ni klabu kubwa na ina heshima zake[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji16][emoji16]
YNWA
Mzee fatilia utajua, wale wa VAR wapo mkoa mmoja tu na mativii yao wakifatilia mechi sasa jiulize EPL inachezwa mkoa mmoja tu?
Yani wewe jamaa sijui kwanini huwa unateseka kiasi hiki? Kwan jamaa amesema kuhusu EPL au ameongelea Klabu bingwa ulaya (UCL)? Au nayo unabisha kwamba sisi sio klabu bingwa ulaya? [emoji23] [emoji23] asee pole sana mzee.Hii liverpool inayoandaliwa ubigwa ndio niwaite bingwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kusema kwel sijaona kikos liverpool cha kuchukua epl, naona var imeletwa kwa sababu yenu kutoa gundu la miaka 29 without title
Mkuu liverpool kuchukua ucl sio tatizo,Yani wewe jamaa sijui kwanini huwa unateseka kiasi hiki? Kwan jamaa amesema kuhusu EPL au ameongelea Klabu bingwa ulaya (UCL)? Au nayo unabisha kwamba sisi sio klabu bingwa ulaya? [emoji23] [emoji23] asee pole sana mzee.
Alafu kama wewe usipotuita bingwa inabadili nini mzee baba? Itapunguza kombe au halitaandikwa kwamba limebebwa na Liver? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huna point wewe kila post yako unaandika utumbo mtupu. Kukaa kimya nayo ni bora zaidiSorry mim siwez kusifia ujinga, lazima niwambie tu ,hakuna namna nyingine najua mtafuta comment zangu
Mkuu samahan sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo man city kashindwa nini mzee huko ucl? Chelsea unayoijua wewe imechukua mara moja tu, epl wamebeba mara ngapi?Mkuu liverpool kuchukua ucl sio tatizo,
Mziki upo epl, ndio league ya wanaume ndio maana miaka 29 mnahaha bila kupata, wakat ucl hata chealse mwaka huu anaweza kuchukua
Mziki mnene epl
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
EPL ni ngumu kwa sababu kuna mechi nyingi sana ili uje kuwa bingwa ....mechi 38....Kuna wanaosema UCL ni ligi rahisi ndiyomana Liverpool anabeba, Lakini EPL ni Ligi ngumu ndiyomana Liverpool haibebi.
SWALI:
Sasa kama UCL ni ligi nyepesi kwanini wengine wasichuke? Au hawa kina Man City na wengine hawalitaki hili kombe?
Kwanini tusikubali tu kuwa Makombe yote (EPL & CL) ni magumu?
Muda mwingine bahati nayo inahusika ...maana man city mbona walikuwa vizuri tu kwa ubora na ukubwa wa kikosi kuliko liverpool katika misimu miwili iliyopita????Huyo man city kashindwa nini mzee huko ucl? Chelsea unayoijua wewe imechukua mara moja tu, epl wamebeba mara ngapi?
Hizo screen kubwa za uwanjani hazipo Anfield na Old Trafford tu ndio hawajaweka..Kuna ile VAR ambayo screen inakuwa uwanjani mfano kwenye AFCON, kunapokuwa kuna tukio la mkanganyiko refa hupewa taarifa na wale wa VAR room akaangalie marudio ya tukio husika, hapa refa ndiye mwenye maamuzi ya mwisho.
Lakini kwenye EPL hakuna screen uwanjani ambayo refa ataenda kuangalia marudio ya video hivyo refa husubiri var room wacheki halafu wanamwambia maamuzi.
Ndio maana kwenye ile screen kubwa huwa wanaandika VAR Decision No goal au Goal.
[emoji23][emoji23][emoji23] haya maisha bhana shabiki wa arsenal nae anadiriki kusema UCL n rahisi[emoji28][emoji28]EPL ni ngumu kwa sababu kuna mechi nyingi sana ili uje kuwa bingwa ....mechi 38....
UCL ni simple kuliko EPL sababu kuna game chache sana mpaka uwe bingwa, bahati ikikalia upande wako tu basi...mechi 13
Makundi 6
16 bora 2
Robo 2
Nusu 2
Fainali 1