Sasa shabik wa watford unatakIwa ukabishane na QPR huko sio LFCWatford,umesikia au niongezee sauti.
Wewe mwenyewe mbabaishaji tu hata card ya uanachama wa Liverpool huna au unabisha?Sasa shabik wa watford unatakIwa ukabishane na QPR huko sio LFC
If hahahahahaThat we callit Winning ugly hahaha
Man if we beat citizen this weekend then all football fanS should understand the follOwingS
%of teams that have possibility take epl 2019/2020
Liverpool -75%
City-15%
Leicester-7%
Chelsea-2%
Then 1% for remaining teams
Sibishi sina na sitak kua nayoWewe mwenyewe mbabaishaji tu hata card ya uanachama wa Liverpool huna au unabisha?
?????umekula gundi au?If hahahahaha
kwahiyo ni if
ok If you manage to pass your health test, then blablablaa
Kwani kuna shida gani hapo????Dah Waafrika bhana! Mshabiki wa Liverpool anasema naipenda Liverpool lakini ninefurahi sana Samatta kufunga Goli dhidi ya Liverpool kwani ni fahari kwa Tanzania.
Nadhani Watu wanapaswa kurudi Darasani wakajifunze maana halisi ya Uzalendo
CL hamuwezi kubeba msimu huu ukweli mchungu,najua mtabisha lakini ukweli utabaki palepale kikosi mlichonacho msimu huu hakina pumzi yakutosha kufanya hivyo.
Gundi hailiwi??????umekula gundi au?
Na ubaya wa Liverpool strength yao ni rahisi zaidi kuwa exploit na kuitumia kama advantage.
Salzburg , Napoli, Man united, na Aston Villa waliexpose weakness ya Liverpool kiasi kwamba kama wangeweka consistency performance wangeidhalilisha liverpool.
Wakikutana na timu yenye wings zenye pace kubwa inaweza kuwa disaster kwa liverpool
Na ubaya wa Liverpool strength yao ni rahisi zaidi kuwa exploit na kuitumia kama advantage.
Salzburg , Napoli, Man united, na Aston Villa waliexpose weakness ya Liverpool kiasi kwamba kama wangeweka consistency performance wangeidhalilisha liverpool.
Wakikutana na timu yenye wings zenye pace kubwa inaweza kuwa disaster kwa liverpool
Chama kubwa Liverpool![]()
Tatizo msimu huu hatuna clean sheet home. So city lazima atapata goli. So la muhimu ni kuwafunga kabla hawajaanza wao. Ndo maana ningependa keita chambo na Fabi ndo waanze kati maana hawa akili yao huwazaga kutafuta magoli sio kukaba sana. Maana city hata ukikaba sana bado watakuzidi possesion. Na ederson kaumia jana sijajua kama ataweza kucheza j2.
Hizo 75% unazitoa wapi ebu kuweni seriously na tadhimini zenu,ligi bando mbichi hii,oohoo!mwisho wa siku watu tusije tukashikana uchawi hapa.
CL hamuwezi kubeba msimu huu ukweli mchungu,najua mtabisha lakini ukweli utabaki palepale kikosi mlichonacho msimu huu hakina pumzi yakutosha kufanya hivyo.
Tukipita kwenye Makundi naona ni PSG pekee ndiyo inayoweza kutusumbua lakini waliobaki sioni wa kutuzuia.
Kwa Barcelona hii ya sasahivi bora hata ya last season ilijishika kidogo
Na mpaka sasahivi sijaona contender wa kujakugombania Ballon D'or na Mchezaji bora wa FIFA kwani Neymar, Mbapee, Messi na Ronaldo mpaka sasa hawapo kwenye ubora wao na Hazard ameshachemka, While VVD naye lililomsibu analijua mwenyewe.
Ni wazi kuwa tukibeba CL basi Mane atapita bila ya kupingwa.