Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Point 3 ndio hoja ndugu..Samata anamfunga adi Allison Kila bora kabisa. Mimi nilitegemea leo mngeshinda nane..
Point 3 ndio hoja ndugu..Samata anamfunga adi Allison Kila bora kabisa. Mimi nilitegemea leo mngeshinda nane..
Kepa kafungwo 4 na Ali kafungwo 1 huku tukichukua point 3 na nyie pointi moja tu..Alison na Kepa wanatofauti gani.
Wewe ungemfunga Ajax?
Hayo maneno wanaongeaga wanawake wambeya wasiokuwa na waume,mtoto wakiume unaanzaje kuongea hayo mambo,ulitaka watu wafanye makosa ya wazi tena makusudi alafu waachwe tu wasiadhibiwe na refa!,sasa huonimpira au ningoma za kizaramo?Jamaa waliona hawawezekaniki ikabidi memo itembee zikatolewa kadi nyekundu kama maji na penati juu,ndio wanapumua ila walishafanyiwa kitu mbaya hapohapo uwani kwao.
kwahiyo aachane na Henderson sio? Le Captain? Hapa nakuunga mkono 100%, hata King Ngwaba atakubaliana na wewe.
Thanks vijana wameweza sasa kuchukua uongozi wa UCL
Napoli anakaa bila wasi wasi wowote Anfield
Sasa Klopp anatayarisha vijana kwa game kubwa ya Jumapili
WILJ . FABIHNO . OX
Nasali Klopp apange kiungo hiki Jumapili
Hahaha Duly Jr anajua kabisa kilichotokea ni khalali na hamna upendeleo pale ..Sema ndo ivyo hana cha kufanya bwana Duly eeeeeeeh This is ChelseaHayo maneno wanaongeaga wanawake wambeya wasiokuwa na waume,mtoto wakiume unaanzaje kuongea hayo mambo,ulitaka watu wafanye makosa ya wazi tena makusudi alafu waachwe tu wasiadhibiwe na refa!,sasa huonimpira au ningoma za kizaramo?





Sasa huoni kama tuko kundi gumu zaid kuliko nyie ...jana mko home mnakaziwa na akina Samata mnapata ushindi wa kusua sua ..mkikutana na Ajax itakuwaje ...kwake utashinda ...Apo Anfield lazima uwanja uiname ...Kepa kafungwo 4 na Ali kafungwo 1 huku tukichukua point 3 na nyie pointi moja tu..
Kundi lenu timu 3 zote zina pointi 7 sasa ndugu mkichapwa gemu moja tu itakua mlishiriki na bye bye...
UCL sio Carabao
Mbna tuliwafunga tu ..kama sio VAr game ingeisha 6-4Jamaa ni noma aisee bado wakiwa pungufu wamekomaa na kutoa draw...
Jitahidi kuwa na maneno ya akibaAjax ni kawaisa alifanya ivyo kwa Juve, Madirid ..unashinda kwake unashinda kwako tena nyingi tu ...
Zile reds usiseme walionewa.. Mtu kadaka makusudi kaonewa?kacheza rafu uko na ana njano kaonewa?
mkuu imekuwaje hadi wewe unamkana nahodha wetu mpendwa jordan henderson kwenye mechi muhimu ya jumapiliThanks vijana wameweza sasa kuchukua uongozi wa UCL
Napoli anakaa bila wasi wasi wowote Anfield
Sasa Klopp anatayarisha vijana kwa game kubwa ya Jumapili
WILJ . FABIHNO . OX
Nasali Klopp apange kiungo hiki Jumapili
Mkuu Chugga swala sisi kufungwo ni kawaida kwani ni moja ya matokeo ya mpira..Sasa huoni kama tuko kundi gumu zaid kuliko nyie ...jana mko home mnakaziwa na akina Samata mnapata ushindi wa kusua sua ..mkikutana na Ajax itakuwaje ...kwake utashinda ...Apo Anfield lazima uwanja uiname ...
Asante Samata
Ubao unasoma 4 4 hayo ya VAR ni ya kwakoMbna tuliwafunga tu ..kama sio VAr game ingeisha 6-4
Duh Chief vipi tena unamkataa Hendo...Thanks vijana wameweza sasa kuchukua uongozi wa UCL
Napoli anakaa bila wasi wasi wowote Anfield
Sasa Klopp anatayarisha vijana kwa game kubwa ya Jumapili
WILJ . FABIHNO . OX
Nasali Klopp apange kiungo hiki Jumapili
Hahahaha tupo pamoja hapaDah!kwahiyo aachane na Henderson sio? Le Captain? Hapa nakuunga mkono 100%, hata King Ngwaba atakubaliana na wewe.
Dah!kwahiyo aachane na Henderson sio? Le Captain? Hapa nakuunga mkono 100%, hata King Ngwaba atakubaliana na wewe.


Hendo anaumwaDuh Chief vipi tena unamkataa Hendo...
Hapa tupo pamoja..
Japo Hendo kutocheza jana ni ishara jumapili yupo ndani 1st 11..
Stamford bridge umekazwa 2 na hao hao waliokaziwa na akina SamataSasa huoni kama tuko kundi gumu zaid kuliko nyie ...jana mko home mnakaziwa na akina Samata mnapata ushindi wa kusua sua ..mkikutana na Ajax itakuwaje ...kwake utashinda ...Apo Anfield lazima uwanja uiname ...
Asante Samata
Yani nimempa bonge la LIKE![]()
![]()
And am repeating again bring them allBack at home UCL cool 3 points huku sasa tunaongoza kundi Kwa vile Naples katoa draw na Salzbag...
It's wasn't one of the greatest night of UCL probably due to Citi game in mind the boys had to control the tempo...
But who cares 3 points counted and settled on top of the group..
Next stop is Manciiti at home bring them..
YNWA
Night Kops