Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Timu ikicheza vibaya lawama kwa Hendo,huyu jamaa ana damu ya kunguni kama Oezil tu
Hendo ndo anasababisha wenzie wacheze vibaya kwa yeye kushindwa majukumu yake.akipangwa nayoyote wataonekana wabovu labda wapinzani wasiwe wazuri.

Milner sipendi tu achoshwe kila mechi ndo mchezaji anaejituma zaidi akiwemo
 
IMG_6400.JPG
 
Mimi nashangaa watu wana kariri sana mimi nimeona amejaribu kutoa pass hata kuna sehemu unadhani angekuwa mchoyo kidogo. Mo msimu wa kwanza aliweka kiwango cha juu sana sasa kila akicheza tunafananisha na msimu ule hapo ndio shida. Hapa tulipo ana mchango mkubwa kikubwa ni team sio Mo. Kuna ukweli mmoja inabidi afanyie kazi sana mipira ya mwisho pass maana ndio tunataka awe anafanya hivyo ila sio ubora wake tumezoea yeye kupewa mipira ya mwisho na kumaliza tu ila tunamtaka awe kama Firminho ambayo sio game yake, yeye ni mzuri kupewa trough ball na kuwakimbia tumuache acheze game yake tusilazimishe acheze kama wengine. Mane, Mo na Bob wana style tofauti tatizo tunataka wafanane.

Alichokifanya jana Mo Salah ni Kuwa ameshuka kiwango tu lakini kuhusu ubinafsi kwa jana hajaonesha hata kidogo kwani pasi na nafasi ametengeneza
 
Game ya jana ilikuwa ngumu sana....kwangu mimi timu za kutisha msimu huu ni Leicester na Man City. Fairplay to Brendan Rodgers ameibadilisha sana Leicester na huenda ikaingia top 4 kama Spurs, Chelsea na Asernal watalega lega.

Ushindi wa Jana ni dalili kuwa tunatafuta ubingwa.
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHWHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHWHAHWHAHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom