Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,729
- 3,498
Kwa salah pale akicheza shakir atafaa sana
Salah ni mzr ila ubinafsi unaicost tim kiujumla
Atafunga ila mwisho wa mechi ye ataonekana na goli wakat kapoteza nyingi ambapo tim ingeshinda kiurahisi
#Tbt
Gem ya Barca msimu uliopita jamaa angecheza sidhan ka tungepata magoli yale,
Kinachomuua salah ni kutaka sifa za kuwa kama Messi au Ronaldo wakat haipo katika uwezo wako( atleast league anayocheza)
Salah ni mzr ila ubinafsi unaicost tim kiujumla
Atafunga ila mwisho wa mechi ye ataonekana na goli wakat kapoteza nyingi ambapo tim ingeshinda kiurahisi
#Tbt
Gem ya Barca msimu uliopita jamaa angecheza sidhan ka tungepata magoli yale,
Kinachomuua salah ni kutaka sifa za kuwa kama Messi au Ronaldo wakat haipo katika uwezo wako( atleast league anayocheza)

